• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

BILION 38. 9/= KUKUSANYWA MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI KWA MWAKA 2023/2024 Budget

Posted on: January 30th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Baraza la Madiwani Manispaa ya Kigoma/Ujiji  Leo January 30, 2023 limejadili na kupitisha rasimu ya bajeti kwa Mwaka wa fedha 2023/2024  kiasi cha fedha za Kitanzania Billion 38.9  

Baraza hilo limefanyika katika Ukumbi wa Manispaa hiyo ikiwa ni Mkutano maalumu wa kupitia na kujadili rasimu ya mpango wa  bajeti

Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji kwa Mwaka wa fedha 2023/2024 inatarajia kukusanya jumla ya fedha za Kitanzania billion 38.9 , Mapato ya ndani ikikusanya fedha za Kitanzania billion 3.6 , fedha za ruzuku kutoka Serikali Kuu billion 23.9 na fedha za miradi ya maendeleo ikiwa ni billion 10.5  

Rasimu ya bajeti hiyo imeongezeka kutoka billion 38.0 kwa mwaka wa fedha 2022/2023   hadi kufikia billion 38.9 kwa Mwaka wa fedha 2023/2024  sawa na ongezeko la Milion 943.7  ambayo ni  2.48%  ongezeko hilo ni kutokana na kuongezeka kwa makisio ya fedha za miradi ya Maendeleo

Rasimu ya mpango na bajeti iliyopitishwa kwa Mwaka 2023/2024 imeandaliwa kwa kuzingatia Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya Mwaka 2020- 2025,  Malengo ya maendeleo endelevu  (SDGs), Dira ya Taifa ya Maendeleo ya Taifa 2025 , Sheria ya Bajeti Na. 11 ya Mwaka 2015 sura ya 349, Mpango wa Taifa wa Miaka Mitano (05)  2021- 2026,  

Miongozo mingine iliyozingatiwa ni pamoja na Mipango shirikishi ya Jamii kwa kutumia dhana ya fursa na vikwazo kwa Maendeleo (O & OD) iliyoboreshwa, Mpango mkakati wa Halmashauri 2021/2022 -2025/2026, Mwongozo wa bajeti kwa Mwaka wa fedha 2023/2024, Maelekezo na ahadi mbalimbali za Viongozi Wakuu wa Kitaifa na Maazimio mbalimbali ya vikao vya Halmashauri

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa