• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

NAMNA MRADI WA BOOST UTAKAVYOINUFAISHA JAMII KATIKA MASUALA YA ELIMU NCHINI Project

Posted on: December 22nd, 2022

Na Mwandishi Wetu

Wataalamu mbalimbali kutoka ngazi za Mkoa na Halmashauri kutoka Mikoa ya Kigoma na Kagera Leo Desemba 22, 2022 Wamekutana katika mafunzo ya siku mbili (02) katika Ukumbi wa Chuo cha Ualimu Kasulu kwa lengo la kuzijengea timu za utekelezaji wa mradi mpya wa BOOST

Wataalamu hao Waliohudhuria mafunzo hayo ni pamoja na Maafisa elimu, Walimu wakuu,  Waratibu elimu Kata, Wahandisi, Maafisa Maendeleo ya jamii, Wahasibu, Maafisa mipango na Uchumi, Maafisa Manunuzi,  Wadhibiti ubora wa  elimu pamoja na Maafisa Mawasiliano Serikalini

Mgeni rasmi wa Mafunzo hayo ambaye ni Katibu Tawala Msaidizi idara ya elimu Mkoa wa Kigoma Bi. Paulina NdigezĂ  akihutubia Washiriki wa mafunzo hayo amewataka kuzingatia mafunzo hayo kwa lengo la kuhakikisha utekelezaji unafanyika kwa ufanisi

Awali Mratibu wa Mafunzo hayo kutoka OR-TAMISEMI Ndugu. George Jackson Mbijima amesema mradi wa BOOST unatarajiwa kutekelezwa kwa mda wa miaka mitano (05) kwa Mwaka 2021/2022 hadi Mwaka 2025/2026 kwa fedha za Kitanzania Trillion 1. 15 sawa na Dora za Kimarekani Million Mia tano

Amesema katika fedha hizo Dola za Kimarekani Million 480 zitatumika katika program ya lipa kulingana na matokeo na Dola za Kimarekani Million 20 ni gharama za utekelezaji wa  uwekezaji wa miradi  

Ameendelea kusema katika Mradi huo jumla ya vyumba vya Madarasa 12, 0000 vinatarajia kujengwa, ununuzi wa vifaa vya kisasa vya  Tehama kwenye Shule  zaidi ya mia nane (800) za Msingi na Vituo vya Walimu,  na uandaaji wa vifaa vya kufundishia na Kujifunzia  kwa elimu ya awali

Aidha malengo mengine ya mradi ni kuongeza uandikishaji wa elimu ya awali kutoka 76.9% mwaka 2021 hadi zaidi ya 85%, mafunzo endelevu ya  Walimu kazini (MEWAKA), na Halmashauri kusimamia utawala bora katika elimu kwa kuzingatia miongozo na usimamizi wa Shule

Amehitimisha kwa kusema Shule za Msingi 6,000 zitateleleza mradi wa programu ya Shule ya Msingi Salama na kufanya Wanafunzi 50% wa darasa la pili kufikia kiwango cha chini cha kumudu stadi za Kusoma na kuandika na 35% katika kuhesabu

Mradi wa BOOST tayari Umeanza  kutekelezwa Nchini Tanzania kwa Mikoa ya Tanzania bara kwa kutoa mafunzo mbalimbali na utambulishaji wa mradi na unatarajia kuboresha upatikanaji wa fursa sawa katika ujifunzaji bora wa Elimu

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa