• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

ZAHANATI YA KAMALA BANGWE YAZINDULIWA KUANZA KUTOA HUDUMA. Health

Posted on: November 10th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Ndugu. Salum Kalli Leo Novemba 10, 2023 amezindua Zahanati mpya ya Kamala- Bangwe iliyopo Manispaa ya Kigoma/Ujiji kwa lengo la kuanza kutoa huduma za afya kwa Wananchi.


Akihutubia Wananchi katika uzinduzi huo, Mkuu wa Wilaya amewataka Wakazi wa eneo hilo kutunza miundombinu ya Zahanati na kuwataka Wahudumu wa afya kutumia lugha nzuri katika kuhudumia Wagonjwa


Meya wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Mhe. Baraka Naibuha Lupoli  amesema Manispaa hiyo imelenga katika kusogeza huduma karibu na Wananchi kwa kutekeleza miradi ya Maendeleo ambapo kwa sasa wanakamilisha ujenzi wa Ofisi za Kata za Kisasa kwa kila Kata huku akisema mpango wa Ujenzi wa Zahanati ni kwa kila Kata


Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Bi. Mwantum Mgonja amesema Ujenzi wa Zahanati hiyo umegharimu kiasi cha fedha za Kitanzania zaidi ya Million Mia moja na sita (Tsh 106, 292, 060/=) na vifaa tiba vikigharimu kiasi cha Million hamsini (Tsh 50, 000, 000/=) fedha kutoka Serikali Kuu.


Amesema kwa kipindi cha uongozi wa Rais Dr. Samia Suluhu Hassani Manispaa hiyo imepokea Fedha za Kitanzania zaidi ya Tsh Billion 3.4/= katika utekelezaji wa miradi ya afya na ununuzi wa vifaa tiba


Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Dr. Hashim Mvogogo amesema Zahanati hiyo inaanza kutoa huduma kwa Wagonjwa wa Nje (OPD), Maabara na huduma za Mama, Baba, na Mtoto (kliniki) ambapo pia vyumba vya mapumziko vipo katika jengo hilo.


Zaidi www.kigomaujijimc.go.tz



Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DC KIGOMA AONGOZA WANANCHI KUFANYA USAFI, KUELEKEA SIKU YA USAFI DUNIANI. Sanitation

    June 02, 2025
  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa