• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MRADI WA SHULE BORA WAWAKUTANISHA WALIMU WAKUU WA MKOA WA KIGOMA. Shule bora project

Posted on: June 25th, 2025

Na Mwandishi Wetu

Walimu Wakuu wa Shule za Msingi na Waratibu wa Jumuia za Kujifunza (JzK) kutoka  Halmashauri nane (08) za Mkoani Kigoma Leo June 25, 2025 wanahitimisha mafunzo ya siku tatu (03) ambayo yamefanyikia Shule ya Sekondari Mwandiga iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.


Mafunzo hayo yanafanyika chini ya Mradi wa Shule bora unaofadhiliwa na Serikali ya Uingereza kupitia mfuko wa UK Aid kwa lengo la  kubadilishana na kujengeana uzoefu katika stadi za Uongozi na usimamizi wa ufundishaji na ujifunzaji katika Jumuia za Kujifunza (JZK).


Akizungumza katika mafunzo hayo Mwezeshaji wa Mafunzo hayo Mwalimu Ramadhani Thabiti Abdallah amesema Jumuia za Kujifunza (JzK) ni umoja wa Walimu na Shule katika maeneo yao katika kupitia na kujadili ufanisi wa ufundishaji ikijumuisha kujadili mada tata.


Amesema mafunzo hayo yamewakutanisha Walimu Wakuu  Hamsini na nne (54) wa Shule za Msingi kutoka Halmashauri nane (08)za Mkoa wa Kigoma ambapo wamejadiliana na kujengeana katika Utekelezaji wa jumuia za kujifunza (JzK),  Uongozi na usimamizi wa ufundishaji na ujifunzaji, Dira, dhima na misingi ya Maadili ya Shule.


Manispaa ya Kigoma/Ujiji ina Jumuia za Kujifunza (JzK) Tano (05) ambazo ni Kabingo, Mwanga, Kigoma Bangwe, Dr. Living stone, na Ujiji.


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MRADI WA SHULE BORA WAWAKUTANISHA WALIMU WAKUU WA MKOA WA KIGOMA. Shule bora project

    June 25, 2025
  • VIONGOZI WA ELIMU WAJADILI MBINU ZA UFUNDISHAJI WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU. Special education

    June 24, 2025
  • "TEKELEZENI MIRADI KWA UWAZI" MAXIMILIAN CYRILO Non government Organisation

    June 24, 2025
  • ELIMU JUMUISHI YAWAFIKIA WAKUU WA SHULE KIGOMA UJIJI. Education

    June 23, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa