• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

OFISI YA MKURUGENZI KIGOMA/UJIJI YAKUTANA NA VIONGOZI WA VYOMBO VYA HABARI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025. National touch

Posted on: August 29th, 2025
  • Na Mwandishi Wetu

Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Leo August 29, 2025 imekutana na kufanya kikao na Viongozi wa vyombo vya habari vya vilivyopo katika Manispaa hiyo  ikiwa ni Maandalizi ya mbio za Mwenge wa Uhuru Mwaka 2025.


Kikao hicho kimeongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya hamasa ya Mwenge wa Uhuru 2025  ambaye ni Afisa elimu wa Awali na Msingi Ndugu. Richard Mtauka kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa.


Katika kikao hicho Mwenyekiti huyo amewashirikisha Wadau hao katika kufanya hamasa na ushiriki wa Wananchi kuelekea mbio za Mwenge wa Uhuru zitakazokimbizwa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Septemba 21, Mwaka huu.


Viongozi waliohudhuria kikao hicho ni kutoka Radio joy, Main FM, Cicora radio, Shakina FM pamoja na Hidaya FM.


Kauli Mbiu ya Mwenge wa Uhuru Mwaka huu ni "Jitokeze Kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwa Amani na Utulivu".


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DC KIGOMA NA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU UJIJI. National touch

    October 03, 2025
  • OFISI YA MKURUGENZI KIGOMA/UJIJI YAKUTANA NA VIONGOZI WA VYOMBO VYA HABARI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025. National touch

    August 29, 2025
  • UJENZI WA JENGO JIPYA LA UTAWALA KIGOMA/UJIJI UNAENDELEA. Construction

    August 27, 2025
  • UJENZI WA SHULE MPYA KATA YA BUSINDE WAANZA. Construction

    August 20, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa