Posted on: July 22nd, 2025
Na Mwandishi Wetu
Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dr. Rashid Chuachua amewataka Wakuu wa Idara na Maafisa Watendaji wa Kata kuendelea kuelimisha suala la lishe ili kuepuka udumavu katika jamii.
...
Posted on: July 18th, 2025
Na Mwandishi Wetu
Ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari Katika Kata ya Kipampa unaendelea kwa fedha za Kitanzania zaidi ya Million mia sita (Tsh 603, 890,563.00/=) ikiwa ni fedha kutoka Serikali Kuu.
...
Posted on: July 17th, 2025
Na Mwandishi Wetu
Wakuu wa Idara na Vitengo Manispaa ya Kigoma/Ujiji wamefanya ziara ya kutembelea miradi ya maendeleo katika Manispaa hiyo ikiwa ni Maandalizi ya Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025.
...