• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

AWAMU YA SITA NA MAENDELEO YA SEKTA YA UVUVI MANISPAA YA KIGOMA UJIJI. Farmers celebration

Posted on: August 7th, 2025

Na Mwandishi Wetu

Serikali ya Awamu ya Sita Nchini Tanzania chini ya Rais  Dr. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuboresha Sekta ya Uvuvi Manispaa ya Kigoma/Ujiji ili kuongeza tija na kipato kwa Wavuvi.


Serikali kupitia Mradi wa TACTICS inaendelea na ujenzi wa Mwalo wa Katonga kwa lengo la kuboresha miundombinu ya Mwalo na Soko la mazao ya Uvuvi.


Katika kuhakikisha Wavuvi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji wanafanya kazi katika mazingira salama  Serikali imenunua boti kwa ajili ya doria na udhibiti wa Uvuvi haramu.


Aidha kumekuwa na ongezeko la Kampuni kumi (10) za uchakataji na usafirishaji wa mazao ya uvuvi kwenda nje ya Nchi na ongezeko la Wananchi kufuga Samaki Kisasa kwa njia ya mabwawa na vizimba na kufanya uwepo vizimba 16 na mabwawa 40 ya Watu binafsi.


Karibu Maonesho ya Wakulima na Wafugaji (Nane nane) Banda la Manispaa la Manispaa ya Kigoma/Ujiji yanayoendelea Kanda ya Magharibi Manispaa ya Tabora katika Viwanja vya Fatuma Mwasa.


Kauli mbiu ya Mwaka huu 2025 ni "Chagua Viongozi Bora kwa maendeleo ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi".


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz



Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • RC KIGOMA ATEMBELEA BANDA LA KIGOMA UJIJI. Farmers celebration

    August 08, 2025
  • RAS KIGOMA ATEMBELEA BANDA LA NANE NANE KIGOMA UJIJI. Farmers celebration

    August 07, 2025
  • DC KIGOMA NDANI YA BANDA LA NANE NANE KIGOMA UJIJI. Farmers celebration

    August 07, 2025
  • AWAMU YA SITA NA MAENDELEO YA SEKTA YA UVUVI MANISPAA YA KIGOMA UJIJI. Farmers celebration

    August 07, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa