• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

WADAU WAKUTANA KUJADILI KUPINGA VITENDO VYA UKATILI KIGOMA UJIJI. Violence protection

Posted on: February 4th, 2026

Na Mwandishi Wetu

Wadau mbalimbali Manispaa ya Kigoma/Ujiji Jana Februari 03, 2026 walianza mdahalo wa Siku mbili (02) ukilenga kuelimisha  na kupinga vitendo vya ukatili katika jamii.


Mdahalo huo unafanyika katika ukumbi wa Ndela ukihuhudhuriwa na Wataalamu wa Maendeleo ya Jamii, maafisa Ustawi wa Jamii,  Viongozi wa dini, Watu maarufu, Vijana,  Wazazi, na Walezi.


Akifungua mafunzo hayo Mratibu wa Dawati la Jinsia Manispaa ya Kigoma Ujiji Bi. Aida Nzowa aliwataka Wadau hao kuwa mabalozi na kutoa elimu ya kupinga vitendo vya ukatili katika jamii.


Alisema Manispaa hiyo imekuwa ikiathiriwa na vitendo vya ukatili kama vile Wazazi wa kiume kutelekeza familia zao na uwepo wa ndoa za utotoni.


Washiriki wa Mdahalo walijadili mbinu za kuzuia na kukabiliana na ukatili ikiwemo utoaji wa taarifa katika Mamlaka husika ikiwemo Ofisi za Mtaa, Kata, Ustawi wa Jamii, na Polisi.


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WADAU WAKUTANA KUJADILI KUPINGA VITENDO VYA UKATILI KIGOMA UJIJI. Violence protection

    February 04, 2026
  • MASHINE YA KUONGEZA VIRUTUBISHO KINGA YAFUNGWA KIGOMA UJIJI, HUDUMA KUTOLEWA BURE. Nutrition

    February 03, 2026
  • CCM YAPONGEZA USIMAMIZI UJENZI WA SOKO LA MWANGA KIGOMA UJIJI. Market building

    February 02, 2026
  • "MADIWANI ACHENI ALAMA KWA WANANCHI" RC SIRRO. Regional Commissioner

    January 30, 2026
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa