• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

CHANJO YA POLIO KUTOLEWA WILAYANI KIGOMA Vaccine

Posted on: September 12th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Wazazi na Walezi wenye Watoto  chini ya Umri wa miaka nane (08) wametakiwa kushiriki zoezi la chanjo ya ugonjwa wa Polio inayotarajiwa Kutolewa Septemba 21-24, 2023 Wilayani Kigoma

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Ndugu. Salum Hamis Kali Leo Septemba 12, 2023 alipokuwa akihutubia Wajumbe wa Kikao cha  Kamati ya afya ya Msingi (PHC) kilichofanyikia Ukumbi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji


Katika Kikao hicho Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Bi. Mwantum Mgonja amewataka Wajumbe wa Kikao hicho kuendelea kutoa elimu kwa Wakazi wa Manispaa hiyo na kuwataka Wananchi kushiriki kikamilifu


Awali akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Utoaji Chanjo ya Polio Mganga Mkuu wa Manispaa Dr. Hashim Mvogogo amesema Chanjo hiyo inatolewa kwa watoto chini ya miaka minane ambao wako katika hatari ya kupata maambukizi ya Ugonjwa huo


Amesema Chanjo ya Ugonjwa wa Polio ni salama na  itatolewa bure na Watoa huduma za afya nyumba kwa nyumba,  Vituo vya kutolea huduma za afya na Mashuleni


Ugonjwa wa Polio husababisha kupooza, Ulemavu na kifo ambapo husababishwa kwa  kutozingatia kanuni za usafi kwa kunywa maji au vyakula ambavyo vimechafuliwa na kinyesi kutoka kwa mtu mwenye virusi vya ugonjwa huo


Wilaya ya Kigoma inatarajia kutoa Chanjo kwa watoto 178, 253 ambapo Manispaa ya Kigoma/Ujiji Watoto 90, 993 wanatarajia kupata Chanjo na Watoto 87, 260 kwa Watoto wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa