• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

DC KIGOMA AENDELEA KUSISITIZA MAADILI YA KITANZANIA RUSIMBI. Distric Commissiner

Posted on: April 18th, 2023

Na Mwandishi Wetu 

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Salum Hamis Kali  ameendelea kutoa elimu ya Kuzingatia maadili na miiko ya  Kitanzania na kuepuka Vitendo vya ukatili  

Aliyasema hayo Jana April 17, 2023 alipokuwa akihutubia Mkutano wa hadhara na Wananchi wa Mtaa wa Taifa  Kata ya Rusimbi  ambapo pia alisikiliza Kerò za Wananchi pamoja na kuzitatua  

Mkuu huyo wa Wilaya aliwataka Wazazi kuendelea kuwaelimisha Watoto Kuzingatia maadili sahihi na kuepuka Migogoro na ukatili  ndani ya familia inayosababisha ongezeko la  watoto wa mitaani

Aidha aliwataka Wananchi kuendelea kuhamasika  kulima zao la Michikichi ya Kisasa kwa lengo la kuwa na uzalishaji mkubwa na wenye tija ili kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na familia

Alisema tayari ugawaji wa kadi za vitambulisho vya Taifa (NIDA) unafanyika kwa kila Kata kwa Wataalamu kupita kugawa kwa kuhirikiana na viongozi wa eneo husika

Naye Diwani wa Kata ya Rusimbi Mhe. Bakari Songoro akiishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa niaba ya Wananchi kwa Utekelezaji wa miradi  alisema Serikali imekamilisha Ujenzi wa wodi ya Wazazi  katika Zahanati ya Rusimbi kwa gharama ya Tsh 76, 765, 000/= na tayari inafanya kazi

Alisema Serikali imeboresha Ujenzi wa vyumba  vya Madarasa matatu (03) Katika Shule ya Sekondari Rusimbi kwa gharama ya Tsh 60, 000, 000/= , Uboreshaji wa maabara ya Shule kwa gharama ya Tsh 20, 000, 000/= na ujenzi wa vyumba vya madarasa Shule ya Msingi Kipampa



Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • ZAHANATI MPYA YA KITONGONI NA KIBIRIZI ZAANZA KUTOA HUDUMA. Health

    June 23, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI INAENDELEA KIBIRIZI. Land clinic

    June 20, 2025
  • MATIBABU YA KIBIGWA YANAENDELEA KITUO CHA AFYA UJIJI, FIKA PATA MATIBABU. Health

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA UNYWAJI MAZIWA YAFANYIKA KIGOMA UJIJI.

    June 17, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa