• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

DC KIGOMA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MIKATABA YA LISHE BAINA YA MKURUGENZI WA MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI NA WATENDAJI KATA. Nutrition

Posted on: November 1st, 2022

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bi. Ester Alexander Mahawe ameshuhudia utiaji saini wa  utekelezaji wa mkataba wa afua za lishe kati ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/ Ujiji na Watendaji kata kumi na tisa (19) wa Manispaa hiyo uliofanyika Leo Novemba 1, 2022 katika Ukumbi wa Manispaa hiyo

Mkuu huyo wa Wilaya amewataka Watendaji Kata na Mitaa kusimamia utekelezaji wa afua za lishe katika maeneo yao ili kuhakikisha kunakuwa na jamii ýenye watu wenye afya njema kutokana na ulaji wa vyakula kwa usahihi

Amewataka Watendaji Kata hao kuhakikisha wanatoa elimu kwa Wananchi namna ya utumiaji wa vyakula vinavyopatikana katika Mazingira yao  huku akiwataka kuhakikisha wanakagua ubora wa bidhaa za vyakula vinavyouzwa  katika masoko na maduka yaliyopo katika maeneo yao

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Athumani Msabila amewataka Watendaji Kata hao kuwasilisha kila robo utekelezaji wa afua za lishe katika jamii na watoto waliopo ili kuwa na Watu wenye akili timamu na uwezo wa kufanya kazi

awali Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji  Dr. Hashimu Mvogogo akiwasilisha taarifa amesema Kwa mwaka wa fedha 2022/2023 robo ya kwanza (July- Septemba)   Manispaa ya Kigoma/Ujiji tayari imetoa fedha za utelezaji  wa afua za lishe kiasi cha Tsh 8, 578, 000, 000/= sawa na Tsh 1000/= iliyotengwa kwa kila mtoto

Ameendelea kusema shughuli zingine zilizotekelezwa  ni   pamoja na utambuzi na matibabu kwa watoto  ishirini na mbili (22) wenye utapiamlo kati ya  elfu kumi Mia saba sabini na tano ( 10775) waliopimwa na kupewa matibabu katika Hospitali ya Mawenì na Babtisti, Kaya 8209 kati ya kaya 8522 zilizokuwa na  wajawazito na watoto wenye umri wa miaka mitano (05) walitembelewa na kupewa elimu ya lishe

Oktoba 26, 2022 Mkuu wa Mkoa wa Kigoma CGF (Mstaafu) Thobias Adengenye aliongoza kikao cha tathimini za Utekelezaji wa Afua za lishe kwa Mkoa na kusaini  Mkataba na Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Mkoa huo kilichofanyikia Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa  kasulu

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa