• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

"JITOKEZENI KUCHANJA CHANJO YA UVIKO-19" DC KIGOMA Vaccine

Posted on: October 12th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bi.  Ester Alexander Mahawe  amewataka Wakazi wa Wilaya ya Kigoma kuanzia umri wa miaka kumi na nane (18) na kuendelea kujitokeza kupata chanjo ya UVIKO-19 katika kampeni ya Kitaifa  ya Nyumba kwa nyumba na  vituo vya kutolea afya itakayofanyika kwa mda wa siku saba(07)

Ameyasema hayo alipohutubia Wajumbe wa  Kikao cha cha Afya Msingi ngazi ya Wilaya kilichofanyikia Leo Oktoba12, katika  Ukumbi wa Redcross  Kikihusisha Kamati ya Ulinzi na Usalama, Wakuu wa Idara na Vitengo, Waratibu wa Afya, kamati za afya za Wilaya, Viongozi wa dini, na Wazee Maarufu

Mkuu huyo wa Wilaya amesema utoaji wa chanjo ya UVIKO -19 unatarajia kuanza Oktoba 17-24 mwaka huu huku zaidi  ya asilimia themanini (80%) ya Wakazi wa Wilaya ya Kigoma tayari wamepata chanjo ya Kujikinga na Ugonjwa wa Uviko-19  

Aidha Mkuu huyo wa Wilaya amewataka Wataalamu wa Afya kuendelea kutoa elimu  kupitia Matangazo ya sauti, picha na Vyombo vya habari ili Wananchi Kushiriki kikamilifu na kuendelea kuchukua tahadhari  za Kujikinga na UVIKO-19

Amewataka Viongozi wa Dini na Wazee Maarufu kuendelea kuelimisha jamii namna ambavyo mtu aliyechanja anakuwa na nafasi kubwa ya kutoambukizwa ugonjwa huo na kuwataka kuendelea kuelimisha jamii kuepukana na dhana potofu      

Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Dr. Hashimu Mvogogo  amesema zaidi ya Watu    elfu arobaini na saba ( 47, 717) wa Wilaya ya Kigoma wanatarajia kuchanja Sawa na 20% ambao hawajachanjwa huku Watu 23, 157 wakiwa wa kazi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji na Watu zaidi ya elfu ishirini na tatu ( 23, 157) wakiwa wakazi wa  Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

Ameendelea kusema zoezi hili litafanyika ambapo wahudumu wa Afya watapita nyumba kwa nyumba na katika Maeneo ya biashara  huku chanjo zingine zikipatikana katika vituo vya afya  

Chanjo ya UVIKO-19 itatolewa kwa ambao bado hawajachanja na Chanjo zitakazotolewa ni    chanjo ya Jassen, Sinopharm,  na Sonovac, ambapo tayari timu ya Watu sabini na nne (74) Manispaa ya Kigoma/Ujiji za Wachanji , Wahamasishaji na Watakwimu tayari wamepata mafunzo namna ya utoaji huduma

Zaidi endelea kutembelea www.kigomaujijimc.go.tz pamoja na mitandao yake ya kijamii  



Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa