• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

KAMATI YA SIASA CCM MKOA WA KIGOMA YARIDHISHWA NA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA 48 MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI. Political party

Posted on: January 17th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kigoma Leo Januari 17, 2022 imefanya ziara ya kutembelea utekelezaji wa Ilani  Manispaa   ya Kigoma/Ujiji  huku wajumbe wakipongeza ubora wa ujenzi wa vyumba vya madarasa ambao umekamilika

Pongezi hizo zimetolewa na wajumbe wa kamati hiyo wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Ndugu. Amandus Nzamba  mara baada ya kufanya ziara katika Shule ya Sekondari Buteko, Gungu, Buhanda na Shule ya Sekondari Kigoma/Ujiji

Mwenyekiti huyo amesema kamati imeridhishwa na ujenzi wa vyumba 48 vilivyojengwa kutokana na fedha za Ustawi wa Taifa na  mapambano dhidi ya Uviko-19  huku akiwataka Madiwani wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji kuendelea kusimamia Wataalamu katika miradi na kupata matokeo yenye ubora na kuwànufaisha wananchi walio wengi  

Naye Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Ndugu. Thobias Andengenye akiongea na Wanafunzi wa kidato cha kwanza ambao wameanza masomo yao   katika madarasa hayo amewataka kusoma kwa bidii na kuhakikisha wanatumia  na kutunza miundombinu ya madarasa, viti na Meza

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Frednand Filimbi awali akiwasilisha taarifa amesema Manispaa hiyo ilipokea kiasi cha Fedha Million Mia tisa sitini (Tsh 960,000,000/=) kutoka Serikali Kuu kwa lengo la ujenzi wa vyumba vya madarasa 48 kwa shule 16 na kusema Ujenzi huo umekamilika kwa wakati

Ameendelea kusema kukamilika kwa Ujenzi huo wa vyumba vya madarasa utawanufaisha mwanafunzi zaidi ya Elfu mbili mia nne (2400)  na kukuza mazingira ya Ufundishaji na Ujifunzaji huku akisema tayari  wanafunzi wameanza kuyatumia madarasa hayo

Miradi mingine iliyotembelewa na Kukaguliwa ni Ujenzi wa Chanzo cha Maji Amani Beach, Ujenzi wa Machinjio ya Ujiji yenye thamani ya Mradi Million Mia mbili hamsini (Tsh 250,000,000/=)   hadi kukamilika, Ujenzi wa Zahanati ya Rusimbi, Ujenzi wa barabara za Legeza Mwendo yenye urefu wa Km 0.56 gharama ya Mradi ikiwa ni Tsh 509, 864,505.00/= , Barabara ya Mabatini yenye urefu wa Km 0.6, na Ujenzi wa barabara ya Muungano "B" kwa Kiwango cha lami tabaka mbili yenye urefu wa Km 0.22 zikijengwa kwa gharama ya Tsh 499,999,200.00/= ikiwa ni fedha zitokanazo na Tozo za Mafuta Nchini  





Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa