Na Mwandishi Wetu
Mafunzo ya mfumo wa utoaji wa elimu kwa kutumia usaidizi na uatamizi kwa Maafisa elimu wa Kata na Walimu Wakuu wa Shule za Msingi Manispaa ya Kigoma/Ujiji yamehitimishwa Leo Februari 11, 2026.
Mafunzo hayo ya Siku tatu (03) yamefanyikia Shule ya Msingi Kabingo yakitolewa na Wataalamu kutoka Wakala wa maendeleo ya uongozi wa elimu yakifadhiliwa na Mradi wa Shule Bora.
Akizungumzia katika mafunzo hayo Mtaalamu kutoka Wakala wa maendeleo ya uongozi wa elimu Bi. Evodia Marco amesema mafunzo hayo yalilenga kuimarisha utoaji wa huduma ya elimu kwa kutumia maarifa, ujuzi na stadi kutoka kwa Mtaalamu mmoja kwenda kwa mwingine na kutathimini matokeo ya ufundishaji na ujifunzaji.
Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz
Manispaa ya Kigoma Ujiji
Sanduku la Posta: S.L.P 44
Simu: +255 28 2802535
Namba ya Simu: +255765660847
Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz
Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa