• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MAAFISA USTAWI WA JAMII, WAJENGEWA UWEZO NAMNA YA KUWAHUDUMIA WATEJA. Social

Posted on: July 18th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Maafisa Ustawi wa Jamii Manispaa ya Kigoma/Ujiji wametakiwa kutumia taaluma zao na kufanya kazi kwa pamoja katika kuisaidia jamii kutokana na uwepo wa  changamoto za Magonjwa ya akili ndani ya Jamii

Aliyasema hayo Afisa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Kigoma Ndugu. Petro Mbwanji Jana July 17, 2022 Wakati akifunga Mafunzo ya Siku tatu (03) kwa Watumishi Maafisa Ustawi wa Jamii wa Serikali na Mashirika binafsi katika Ukumbi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji

Alisema kwa Sasa kumekuwa na Ongezeko la Watu wenye changamoto ya afya ya akili na    Magonjwa ya Akili ndani ya jamii kama vile Msongo wa Mawazo, Wasiwasi, Kujitenga, Woga, Mauaji na Watu kujiua hali inayosababisha vifo, Magonjwa na Majanga tofauti tofauti

Aidha aliwataka maafisa Ustawi wa Jamii kufanya kazi kwa pamoja na kushirikiana na wadau mbalimbali kama vile Viongozi wa dini katika kuhakikisha kunakuwa na Jamii iliyo bora na yenye watu wenye afya njema

Mkufunzi katika Mafunzo hayo ambaye pia ni Daktari wa Magonjwa ya Akili kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma (Maweni) Dr.Crensensia John   aliwataka Maafisa ustawi wa Jamii kuwabaini Watu wenye changamoto ya afya ya Akili na kuwapeleka katika vituo Maalumu vya Matibabu ikiwemo Hospitali ya Mkoa Wa Kigoma (Maweni)

Naye Mratibu wa Mafunzo hayo ambaye pia ni Afisa Ustawi wa Jamii Manispaa ya Kigoma/Ujiji Bi. Agnes Punjila alisema kumekuwa na Changamoto ya Magonjwa ya akili kwa Sasa ambayo pia yanasabibisha watu kutumia Madawa ya Kulevya, Unywaji Pombe Kupindukia, kuingia katika Kamali na kusema wako tayari kufanya kazi kama timu huku akiahidi kutoa taarifa kila robo juu ya Watu wanaohudumiwa wa changamoto za Afya ya akili na msaada wa Kisaikolojia  

Miongoni mwa mada zilizowasilishwa katika Mafunzo hayo ni namna ya kuhudumia jamii katika Misaada ya Kisaikolojia, Changamoto za Kisaikolojia na Magonjwa ya Kisaikolojia


Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa