• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MAANDALIZI YA MWISHO MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2022 MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI National Touch

Posted on: September 19th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Kigoma ikiongozwa na  Mkuu wa Mkoa huo Ndugu. Thobias Adenyenye Jana Septemba 18, ilifanya ziara ya kukagua miradi inayotarajia kutembelewa, Kuzinduliwa na  kuwekewa mawe ya Msingi na Wakimbiza  Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2022 katika Wilaya ya Kigoma

Katika ziara hiyo Mkuu wa Mkoa alimtaka Mkuu wa Wilaya hiyo Bi. Ester alexander Mahawe kuendelea kusimamia umaliziaji wa miundombinu ambayo bado ipo hatua ya mwisho  kabla ya tarehe  22 Mwezi huu

Aidha aliwataka Wataalamu na wasimamizi wa miradi   kuhakikisha nyaraka zote Mhimu zinakuwepo kwa kila mradi  utakaotembelewa, kukaguliwa au kuzinduliwa na viongozi wa Mwenge  wa uhuru kwa mwaka huu

Miradi iliyotembelewa na Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa Manispaa ya Kigoma/Ujiji ni pamoja ujenzi wa Mtandao wa mradi wa maji uliogharimu kiasi cha Tsh 500,000,000/= , Ujenzi wa Kituo cha Afya Buhanda unaoendelea kwa gharama ya Tsh 500,000,000/=, Ujenzi wa Ofisi ya Kata ya Rubuga unaoendelea kwa gharama ya Tsh 47,000,000/=

Miradi mingine ni Ujenzi wa barabara ya Mabatini na  Muungano B mita 800  kwa kiwango cha lami kwa gharama ya Tsh 535,000,000/= ,  na ujenzi wa madarasa  Manne (04) Shule ya Sekondari Buteko kwa gharama ya Tsh 80, 000, 000/=

Mwenge wa uhuru Mkoani Kigoma Unatarajia kupokelewa  Septemba 28, Mwaka huu ukitokea Mkoani Katavi,  Ambapo Manispaa ya Kigoma/Ujiji inàtarajia kuwa Septemba 30, 2022   Kauli mbiu ya Mwenge wa Uhuru  Mwaka huu ikiwa ni " Sensa ni Msingi wa Mipango ya Maendeleo, Shiriki Kuhesabiwa Tuyafikie Maendeleo"

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa