• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MILLION 79 ZATOLEWA KWA VIKUNDI VYA WAJASIRIAMALI MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI

Posted on: February 16th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Vikundi vya Wajasiriamali Manispaa ya Kigoma/Ujiji vimeendelea kunufaika na mikopo  isiyokuwa na riba ya 10% kutoka katika mapato ya ndani kwa vikundi vya wanawake, Vijana, na Watu wenye ulemavu huku wakiaswa kutumia mikopo hiyo kwa malengo yaliyokusudiwa

Aliyasema hayo Mkuu wa Wilaya ya  Kigoma Bi. Ester Alexander Mahawe Jana Februari 15, 2022 katika ukumbi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji alipokuwa akikabidhi Mfano wa hundi  wenye thamani ya Tsh 79,000,000/= kwa lengo la kuwanufaisha wanakikundi 200, Wanawake 183, vijana 10 na watu wenye ulemavu 07 kutoka katika jumla ya  vikundi 12 vya wanawake, vijana na Watu wenye ulemavu

Alisema lengo la kugawa mikopo hiyo ni kwa ajili ya kuinua vikundi hivyo ili kujitegemea katika miradi yake na kuwa na uwezo wa kujiendesha na kuwa na uwezo mkubwa hata kukopa katika taasisi za fedha  


Awali akiwasilisha taarifa Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndugu. Athumani Msabila alisema Mkopo huo uliotolewa ni awamu  ya pili kwa mwaka wa fedha 2021/2022, mkopo wa kwanza iliotolewa ilikuwa kiasi cha fedha Tsh 105, 500, 000/=   ambapo ulinufaisha wanakikundi 300, Kati ya Wanawake 265, vijana 21 na watu wenye ulemavu 14 na Mkopo awamu ya tatu ukitarajiwa kutolewa Mwishoni mwa mwezi march 2022


Naibu Meya wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Bi. Mgeni Kakorwa alivitaka vikundi hivyo kutumia mikopo hiyo kwa miradi iliyokusudiwa na kurejesha fedha hizo kwa wakati ili kuendelea kukopa na kunufaisha vikundi vingine  


Naye Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kigoma Alhaji Yassin Mtalikwa aliipongeza Manispaa ya Kigoma/Ujiji namna inavyotekeleza ilani ya Chama hicho kwa utoaji wa mikopo huku akisema Chama hicho kinaridhishwa na  utendaji kazi wa Manispaa hiyo

Mmoja wa wanufaika wa miradi hiyo kutoka kikundi cha Wanawake  Maendeleo Bi. Aisha alisema wapo tayari kutumia mikopo hiyo isiyokuwa riba katika miradi iliyotekelezwa huku akipongeza elimu inayotolewa kabla ya kutolewa kwa mikopo hiyo  






Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • RC ANDENGENYE AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA MKOA WA KIGOMA. Malaria protection

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa