• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

“MIMI NI MHANDISI ASIYEKUWA NA CHETI” ASEMA MKUU WA WILAYA YA KIGOMA Bi. ESTHER MAHAWE Distric Commissioner

Posted on: June 23rd, 2021

Mwandishi wetu

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bi. Ester Alexander Mahawe leo June 23, amefika katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji na kuongea na Wakuu wa Idara na Vitengo pamoja na Watumishi wote huku akiwataka kufanya kazi kwa ushirikiano katika kuwatumikia Wananchi

Akizungumza na Watumishi hao Mkuu huyo wa Wilaya amewataka Watumishi wote kufanya kazi kwa ushirikiano na kuwahudumia wananchi na makundi mbalimbali pasipo kuwa na malalamiko na kufanya kazi kwa weledi

Akizungumzia usimamimizi wa miradi inayotekelezwa amewataka Wakuu wa Idara na Vitengo wenye kutekeleza miradi kusimamia kwa weledi kwa kuzingatia ubora na viwango pasipo kutanguliza masilahi yao binafsi na kuacha miradi ikiwa na manufaa kwa  Wananchi

“Mimi ni Mhandisi asiye kuwa na cheti nina uzoefu wa zaidi ya miaka ishirini na moja (21) katika kusimamia na kufuatilia miradi mbalimbali hivyo nawataka wakuu wa Idara na vitengo kuwa waaminifu na kusimamia viwango na ubora wa miundombinu” amesema Mkuu wa Wilaya huyo

Akizungumzia juu ya wahamiaji haramu amesema wilaya ya Kigoma imepakana na Nchi jirani ambazo wananchi wake huingia sana nchini Tanzania  kupitia Ziwa Tanganyika na njia nyingine zisizokubarika huku akiahidi kudhibiti mianya hiyo kwa kusimamia vikao vya kamati ya ulinzi na usalama kufanyika kwa wakati kwa ngazi zote na wananchi kuishi kwa Uhuru na Amani

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Frednand Filimbi akimkaribisha Mkuu wa wilaya amempongeza kwa kuchaguliwa katika nafasi hiyo huku akisema Ofisi ya Mkurugenzi ikishirikiana na Wakuu wa Idara na Vitengo wako tayari katika kutoa ushirikiano katika utendaji kazi na kusimamia miradi katika ubora na viwango vinavyokubalika

Mkuu huyo wa wilaya ni miongoni mwa walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan June 19, 2021 ambapo June 21 aliapishwa  katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma  na Mkuu huyo wa Wilaya ameanza kufanya ziara yake kwa kuzungumza na Watumishi wa Ofisi mbalimbali na makundi mbalimbali ikiwa ni pamoja  na kutembelea miradi

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa