• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MKUU WA WILAYA YA KIGOMA ASEMA "KAMILISHENI UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA KABLA YA DESEMBA 30, 2021” Distric

Posted on: December 16th, 2021

Na Mwandishi wetu

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bi. Esther Alexander Mahawe jana Desemba 15, 2021 alifanya ziara ya kutembelea ujenzi wa  miundombinu ya elimu na afya  unaoendelea katika Tarafa ya Kalinzi Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma huku akiwataka wasimamizi wa miradi hiyo kukamilisha kwa wakati  


Mkuu huyo wa wilaya aliwataka wasimamizi ngazi ya Halmashauri, Kata, na Shule  kukamilisha ujenzi huo kabla ya Desemba 30, mwaka huu   huku wakizingatia  thamani ya fedha kwa kila mradi unaotekelezwa


Aidha  Mkuu huyo wa wilaya alisema hadi sasa ujenzi huo unaendelea vizuri kwa  kuzingatia thamani ya miundombinu  na  itakabidhiwa kwa wakati na wanufaika kuitumia kama maelekezo yalivyotolewa kwa ngazi ya Taifa


Aliendelea kuwataka Wasimamizi hao kuzingatia mda uliowekwa huku akisema suala la usimamizi na ufatiliaji ataendelea kulifanya kila mara ili kuhakikisha miradi inakuwa katika viwango bora na kuwanufaisha wananchi wa maeneo hayo

Miradi aliyotembelea  ni pamoja na ujenzi wa vyumba vya madarasa na samani zake katika shule ya Sekondari Kalinzi  kwa fedha za Kitanzania Million sitini (Tsh 60,000,000/=),ujenzi wa vyumba vitatu (03) na ukamilishaji wa maabara moja Shule ya Sekondari  Mkabogo wenye jumla ya fedha za Kitanzania Million tisini (90,000,000/=)  ikiwa ni fedha za Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO-19  na ujenzi wa vyumba vya madarasa viwili (02) Shule ya Msingi Mshikamano kwa fedha za Kitanzania Million arobaini (Tsh 40,000,000/=) kutoka kwa mradi wa EP4R


Miradi ya idara ya Afya aliyoitembelea ni pamoja na ujenzi wa kituo cha afya kijiji cha Mlangala kwa fedha za kitanzania Million mia mbili hamsini (Tsh 250,000,000/=), ujenzi wa wodi ya wazazi na matundu matano (05) ya vyoo Zahanati ya Kijiji cha Kalinzi ikiwa ni fedha kutoka Serikali Kuu







Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa