• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MWENGE WA UHURU WARIDHIA MIRADI YOTE KIGOMA UJIJI. National touch

Posted on: September 21st, 2025

Na Mwandishi Wetu

Mbio za Mwenge wa Uhuru Manispaa ya Kigoma/Ujiji zimeridhia miradi  ya maendeleo Saba (07) kwa kuweka mawe ya Msingi, kuzindua, kutembelea na kukagua miradi yenye yenye thamani ya fedha za Kitanzania 48,914,627,659.80.


Akizungumza katika miradi ya Maendeleo Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa  Ndugu. Ismail Ali Ussi amesema Serikali imeendelea kusogeza huduma karibu na Wananchi kwa kujenga miundombinu mbalimbali.


Aidha amewataka Wananchi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji kujitokeza kupiga Kura katika Uchaguzi Mkuu utaokafanyika Octoba 29, Mwaka huu.


Mwenge wa Uhuru umekagua na kuweka jiwe la Msingi ujenzi wa bweni la Wanafunzi Shule ya Sekondari Buronge kwa gharama ya Tsh 136,000,000/=,  kukagua Shughuli za Vijana na kukabidhi hundi ya Mkopo wa asilimia  10% kwa Kikundi cha Vijana wa Umoja mafundi Seremala Katubuka kiasi cha Tsh 20,000,000/=, kutembelea na kukagua shughuli za lishe, UKIMWI, Malaria, Ustawi wa jamii, msaada wa Kisheria na Matumizi ya nishati Safi ya kupikia.


Aidha miradi mingine ni kukagua na Kuzindua Ofisi ya Kata ya Kasimbu iliyojengwa kwa Mapato ya ndani kwa gharama ya fedha za Kitanzania Tsh 64, 446,400/=,  kuweka jiwe la Msingi Ujenzi wa Zahanati Kata ya Rubuga kwa gharama ya159,055,493.00 hadi kukamilika, Kukagua na kuzindua Barabara ya Met, kutembelea na kukagua shughuli za uhifadhi wa chanzo maji cha Amani Beach na kuweka jiwe la Msingi katika Ujenzi wa Hotel ya Kg one.


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz







Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MAAFISA WANAFUNZI WA JESHI WATEMBELEA MIRADI KIGOMA UJIJI. Learning visit

    October 20, 2025
  • WALIMU MAHIRI WANOLEWA UTENGENEZAJI WA ZANA ZA KUFUNDISHIA KIGOMA UJIJI. Learning

    October 09, 2025
  • ULINZI WA MTOTO WAJADILIWA KIKAO CHA LISHE KIGOMA/UJIJI. Child protection

    September 30, 2025
  • AJIRA MPYA WANOLEWA KIGOMA UJIJI. Orientation

    September 30, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa