• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MWENYEKITI WA KAMATI YA UCHUMI,ELIMU NA AFYA MANISPAA YA KIGOMA /UJIJI MHE. HUSSEIN KALIANGO AIPONGEZA SERIKALI KWA JITIHANA NA ELIMU INAYOTOLEWA KUHUSU UGONJWA WA EBORA. congraturation

Posted on: October 2nd, 2019

Halmashauri ya manispaa ya Kigoma/Ujiji imetenga zahanati ya Bangwe ikiwa ni maandalizi ya kuwahudumia wagonjwa wa Ebola endapo watabainika kuwepo katika manispaa hiyo ikiwa ni tamko la wizara ya afya,  jinsia wazee na watoto .

Yamebainishwa leo octoba 1, kamati ya Uchumi,Elimu na Afya ilipokuwa katika ziara yake  ya siku mbili ya kutembelea miradi mbalimbali ikiwemo vituo vya afya na elimu(shule), akitoa taarifa hiyo Mganga Mkuu wa manispaa hiyo Dr.Siwale amesema tayari eneo hilo limetengwa kwa ajili ya shughuli ya kuwahudumia wagonjwa wa Ebola endapo watabainika kuwepo katika manispaa hiyo.

Ameendelea kusema hadi sasa hakuna mgonjwa ambaye amegunduliwa kuwa na dalili za ugonjwa wa Ebola katika manispaa hiyo na tayari wataalamu afya wameshapatiwa elimu na vifaa ni namna gani wanaweza kuwahudumia wagonjwa .

Ameendelea kusema hadi sasa wataalamu watano (5) kutoka wizara ya afya, jinsia, wazee na watoto wapo katika manispaa hiyo kwa ajili ya kutoa elimu kwa wataalamu wa afya, na na kwa wananchi, ambapo amesema wananchi wanaendelea kupata elimu katika mikutano ya hadhala anayoifanya mkuu wa mkoa wa Kigoma na mkuu wa wilaya hiyo.

“Wananchi wataendelea kupata elimu kupitia mikutano hiyo na tayari tumeandaa utaratibu wa kuwafikia wananchi moja kwa moja kupitia mikutano ikiwa elimu ya ugonjwa wa Ebola ni agenda kuu na kupitia vyombo vya habari tulivyonavyo” amesema Dr. Siwale

Amehitimisha kwa kusema wagonjwa waliokuwa wakitibiwa katika zahanati ya Bangwe watakuwa wakitibiwa katika zahanati ya Kigoma mjini ili kupisha huduma itakayokuwa ikilotewa hapo na hadi sasa maandalizi yamekamilika ambapo pia eneo la zahanati ya Bangwe inatarajiwa kuwekewa uzio kwa ajili ya usalama.

Naye mwenyekiti wa kamati ya uchumi, elimu na afya Mhe. Hussein  Kaliyango ameipongeza serikali na mganga mkuu wa manispaa kwa jitihada wanazozifanya katika kuhakikisha wanadhibiti na kutoa elimu ya ugonjwa wa Ebola kwa wakazi wa manispaa ya Kigoma/Ujiji  na kuwataka wakazi wa Bangwe kuitikia  vizuri suala la kutibiwa katika kituo cha zahanati  ya Kigoma mjini pindi watakapotangaziwa  kutokana na huduma itakayotolewa.

Shirika la afya duniani  WHO na Wizara ya afya , jinsia, wazee na watoto imethibitisha kuwa hadi sasa Ugonjwa wa  Ebola haupo nchini Tanzania , 'Hakuna taarifa zilizopo kuhusu vipimo vya maabara na matokeo ya vipimo wala maelezo kuhusu dalili'', limesema shirika hilo la Afya duniani katika ripoti yake.

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa