• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

NAIBU KATIBU MKUU CCM TAIFA AKAGUA UJENZI WA MRADI SHULE MPYA BUSINDE-KIGOMA/UJIJI school

Posted on: August 5th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara Mhe. Christina Mndema Leo August 05, 2022 amefanya ziara ya kukagua Ujenzi wa  Shule  mpya ya Sekondari unaoendelea kata ya Businde

Akiwa katika Ujenzi wa Shule hiyo Mpya ameipongeza Serikali ya Awamu ya sita kwa Ujenzi wa Mradi huo kutokana na eneo hilo kutokuwa na Shule ya Sekondari hapo awali

Amewataka viongozi wa Manispaa hiyo kuanza Ujenzi wa mabweni,  madarasa ya kidato cha tano na sita, Nyumba za Walimu  kwa kutumia nguvu za Wananchi pamoja na mapato ya ndani

Ameendelea kuwataka Viongozi wa Halmashauri na taasisi za Serikali Nchini kupima maeneo ya Umma na kupata hati miliki ili kuepusha migogoro na wavamizi wa kujenga  maeneo ya Umma

Amewasihi Wananchi wa Kata ya Businde kulinda na kutunza Miundombinu hiyo ya shule kwa lengo la kunufaisha  Wanafunzi wa Kitanzania walio wengi

Amehitimisha kwa kuwataka Wananchi Wote katika Manispaa hiyo kujitokeza katika zoezi la Sensa ya Watu na makazi inayotarajia kufanyika Agost 23, Mwaka huu ili Serikali kuendelea kupanga Mipango na Miradi mbalimbali  ya Maendeleo kwa manufaa ya Wananchi

Awali Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Athumani Msabila amesema Manispaa hiyo ilipokea kiasi cha fedha za Kitanzania Million Mia nne sabini (Tsh 470,000,000/=) kwa ajili ya Ujenzi wa vyumba vya   Madarasa nane  (08), Chumba kimoja cha Tehama,  Maktaba, Jengo la Utawala, Matundu ya vyoo ishirini (20),  Miundombinu ya Maji na ya kunawia mikono

Mkurugenzi huyo amesema kwa Sasa Ujenzi huo upo hatua ya Usafi huku akiomba Serikali kuu kuendelea kuleta fedha kiasi cha Tsh Millioni Mia moja thelathini (130,000,000/=) kwa lengo la kukamilisha Ujenzi wa nyumba za Walimu


Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa