• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

NAIBU MEYA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI AKABIDHIWA KISIMA NA WAFADHILI DEPUTY MAYOR MUNICIPALITY OF KIGOMA HANDED WELL WATER AND DONOR OF AFRICAN MUSLIM AGENCY CUT OF MEAT AT KITONGONI WARD, SAYS THESE SLAUGHTERHOUSES WILL COUNTINUE TO IMPROVE TO BE MODERN

Posted on: September 20th, 2018

Naibu meya manispaa ya Kigoma Ujiji mhe. Athuman Juma Athuman jana septemba 19, amekabidhiwa kisima kilichojengwa na African Muslim Agency  kilichojengwa katika kata ya Kitongoni katika eneo la machinjio ya nyama na kusema machinjio hayo ni ya kizamani yataendelea kuboresha.

Katika hafla hiyo ya makabidhiano iliyofanyika majira ya asubuhi akiwahutubia wananchi waliofika  katika eneo hilo la machinjio naibu meya huyo aliwashukuru wafadhili hao kwa kujenga kisima hicho cha maji na kusema ni fursa nzuri kwa wachinjanji katika kutumia maji hayo lakini pia fursa kwa wafanyabiashara wa vyakula  katika eneo hilo katika kuboresha afya za walaji, wauzaji wenyewe  ili kuweza kuepuka magonjwa kama ya  mlipuko.

Aliendelea kuwataka wafadhili hao kuendelea kujenga visima hivyo pale wanapokuwa wameombwa kufanya hivo kwani itafanya kupunguza tatizo la maji kwa Manispaa ya Kigoma Ujiji na naibu meya huyo aliendelea  kuwataka  wakazi wanaozunguka eneo hilo kutunza kisima hicho katika matumizi yake ili kiweze kuendelea kuwanufaisha wananchi wa eneo hilo ,wafanyabiashara na wachinjanji wa eneo hilo.


Naye Afisa Utumishi Berneth Ninalwo aliyehudhulia katika hafla hiyo ya makabidhiano kwa niaba ya mkurugenzi aliwashukuru wafadhili wa ujenzi huo wa kisima ambacho kitakuwa msaada mkubwa kwa wananchi, lakin pia aliendelea kuwashukuru wananchi, wafanyabiashara wa vyakula na wachinjaji kwa kujitokeza kwa kiasi kikubwa katika makabidhiano ya kisima hicho.

Aliendelea kusema ofsi ya mkurugenzi bado inafursa kubwa wa kuendelea kutafuta wafadhili wengine kwa lengo la kuboresha machinjio hayo na kuwa ya kisasa zaidi na kusema “kwa sasa tumeanza na upatikanaji wa maji  hatua inayofuata tunajenga bafu nzuri na bora ili wachinjaji wanaofanya shuguli zao hapa, wanapomaliza watoke hapa wakiwa safi wakiwemo na akina mama wanaouza vyakula eneo hili.”

Naye mwakilishi kutoka kampuni ya African Muslim Agency wafadhili wa kisima hicho ameshukuru uongozi wa halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji chini ya mkurugenzi kwa ombi walilopewa la ujenzi wa kisima hicho,  na kusema tayari katika manispaa hiyo wameshajengwa visima vya kutosha katika kata tofauti tofauti na kuendelea kuahidi kuwa wataendelea kufanya hivyo kadri ya mahitaji ya wakazi hao.

Aliendelea kuwataka halmashauri kupitia serikali ya mtaa iliyokabidhiwa  kukitunza kwa maslahi ya umma kwani maji ni sehemu muhimu ya maisha ya binadamu,

Nao baadhi ya wananchi waliofika eneo hilo wameshukuru wafadhili hao kwa ujenzi wa kisima hicho na  kusema maji hayo yatawanufaisha kwa kiasi kikubwa.

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa