• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

NAIBU MEYA MHE. ATHUMANI JUMA ATHUMANI AWAAGA WATAALAMU WA HALMASHAURI KWENDA HIJA, ASEMA "HALMASHAURI NIMEIACHA KATIKA HALI SHWALI"

Posted on: July 30th, 2018

Naibu meya manispaa ya Kigoma/Ujiji  Mhe. Athumani Mussa Athumani  leo july 25, awaaga wakuu wa idara (wataalamu) wa halmashauri kwa safari ya kwenda ibada ya Hija nchini Saudi Arabia.

Katika mkutano huo aliofanyika ukumbi wa halmashauri hiyo naibu meya alianza kwa  kuwashukuru wakuu wa idara hao kwa mwitikio wao wa kuingia kumusikiliza, ambapo aliendelea kusema ameweza kupata ufadhili  ambao alikuwa hautarajii wa  kwenda katika ibada hiyo ya hija .

Amemtaka mkurugenzi , wataalamu na madiwani kuwa na mahusiano mazuri katika utendaji wa kazi wao na kuondoa tofauti zilizopo kitu ambacho ndio msingi  na kusema halmashauri anaiacha katika hali shwali na angependa aikute ikiwa shwali pia ambapo atakapo kuwa hija atakuwa akiendelea kuliombea swala hilo .

Ameendelea kumtaka mkurugenzi wa halmashauri kupitia wataalamu alionao kuweka mikakati imara ya ukusanyaji mapato kwa lengo la kuikuza halmashauri kiuchumi, kuweka mikakati mizuri ya kufanya usafi ikiwa ni pamoja na kufanyika kwa vikao vya mara kwa mara.

Naye mkurugenzi wa halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji Dr. John Shauri Tlatlaa amempongeza naibu meya huyo kwa safari yake ya kiibada na kumpongeza kwa hatua aliyoifanya ya kuwaaga wataalamu na Manispaa kwani ni wachache ambao huaga katika safari zao wanazozifanya.

Mkurugenzi aliendelea kumpongeza naibu meya huyo kwa kutaka kuleta mahusiano mazuri baina ya wataalamu pamoja na madiwani jambo lililokuwa linaleta dalili za kuvunjika kwa mahusiano yao ya awali na kuendelea kusema ushauri mwingine alioutoa naibu meya huyo kama mkurugenzi ataufanyia kazi na kuweza kuusimamia.

Nao wakuu wa idara waliweza kupata fursa ya kumuaga mmoja mmoja ambapo wengi wao akiwemo Afisa utumishi Berneth Ninalwo ambapo walimpongeza kwa ibada ya hija anayoende kutekeleza ikiwa ni miongoni mwa nguzo 5 za ibada katika dini ya Kiislamu ulimwenguni pote na  walimtakia safari njema katika ibada hiyo itakayofanyika huko Saudi Arabia, na kumtaka aiombee halmashauri na uongozi  uliopo, na kuombea wakazi wote wa halmashauri ya manispaa ya Kigoma Ujiji.

Ibada ya hija ni ibada ambayo huwa inafanyika katika miji mitakatifu ya kiislamu ya Makka na Madina nchini Saudi Arabia ambapo mapema mwaka huu mfuti mkuu wa Tanzania aliwataka watanzania kujitokeza kwa wingi katika kutimiza nguzo hiyo muhimu ya dini ya kiislamu ambapo hadi hivi sasa suala la malazi, huduma za afya na chakula zimehakikishwa kuwa katika mazingira mazuri nchini huko.

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa