• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

NAIBU WAZIRI WA UTUMISHI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWATUMIKIA WANANCHI KIKAMILIFU. Servants

Posted on: November 15th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Watumishi wa Umma Wilaya ya Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa weredi katika maeneo yao ya kazi ikiwa ni pamoja na kutoa huduma bora kwa Wananchi kwa kuzingatia utaratibu, kanuni na sheria

Aliyasema hayo Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe. Deogratius Ndejembe jana Novemba 14, 2022  Wakati akizungumza na watumishi wa Wilaya hiyo katika Ukumbi wa Redcross Manispaa ya Kigoma/Ujiji

Akiwa katika  ukumbi huo aliwataka Waajiri katika maeneo yao kutenda haki kwa watumishi ikawa ni pamoja na Uandaaji, uhakiki  na uwasilishaji kwa wakati madeni ya Watumishi wanaodai  ili kushughulikiwa  kwa wakati katika wizara hiyo

Aidha aliwataka Waajiri kujiridhisha kukidhi vigezo kwa Watumishi wanaoomba kuhamia maeneo mengine ya kazi  kwa kuwatendea haki huku akiwataka kuchukua hatua za kinidhamu kwa Watumishi wanaotumia nyaraka za kugushi kutaka kuhamia vituo vingine

Alihitimisha kwa kusema Serikali inaendelea kuboresha maslahi ya Watumishi Umma  katika kipindi cha awamu ya sita huku akiendelea kusisitiza Waajiri kulipa stahiki za Watumishi zitokanazo na mapato ya ndani kwa wakati kama vile fedha za matibabu  

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bi. Ester Alexander Mahawe aliwataka Waajiri wa Mkoa huo kuhakikisha wanatenda haki na kuahidi kuendelea kusimamia weredi wa watumishi kupitia Maafisa utumishi waliopo katika taasisi zao    

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Athumani Msabila alimuomba Naibu Waziri h kufanya msawazo wa watumishi kutoka maeneo mengine kutokana na Halmashauri   zilizopo Mkoani Kigoma kuwa na uhaba wa watumishi huku kiongozi akiahidi kulifanyia kazi

Mkutano huo ulihudhuriwa na Watumishi wa Sekratieti ya Mkoa, Watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji, Halmashauri ya Wilaya na Watumishi kutoka taasisi na idara za Serikali  Wilaya ya Kigoma


Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa