• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

RC KIGOMA AKAGUA MIRADI KIGOMA UJIJI. Regional Commissioner

Posted on: October 15th, 2025

Na Mwandishi Wetu
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro Leo OKtoba 15, 2025 amefanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi inayotekelezwa Manispaa ya Kigoma/Ujiji kupitia Mradi wa uboreshaji wa miundombinu ya Miji kiushindani Tanzania (TACTICS).

Mkuu huyo wa Mkoa amefanya ziara na kukagua  ujenzi unaoendelea wa daraja la Mto Ruiche, Ujenzi wa kiwango cha  lami Barabara ya Bangwe-Ujiji  yenye urefu km 7, Ujenzi wa soko la Mwanga, Ujenzi Korongo la katonyanga, Burega,Bushabani na mfereji wa kutoa maji Katubuka.

Akiwa katika miradi amepongeza namna ujenzi unavyoendelea huku akimtaka Mkandarasi mjenzi kuhakisha anafanya kazi kwa weredi na kwa wakati.  

Meneja wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu.Eliasi Mtapima amesema ujenzi wa Barabara na mitalo ya maji  unatarajia kukamilika Mwezi Februari 2026 .

Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz






Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WALIMU KIGOMA UJIJI WANOLEWA MFUMO WA KIDIGITALI. Training

    October 15, 2025
  • RC KIGOMA AKAGUA MIRADI KIGOMA UJIJI. Regional Commissioner

    October 15, 2025
  • MAAFISA WANAFUNZI WA JESHI WATEMBELEA MIRADI KIGOMA UJIJI. Learning visit

    October 20, 2025
  • WALIMU MAHIRI WANOLEWA UTENGENEZAJI WA ZANA ZA KUFUNDISHIA KIGOMA UJIJI. Learning

    October 09, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa