• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

SHEREHE ZA UZINDUZI WA KUKUZA UFAULU WA MTOTO WA KIKE MANISPAA YA KIGOMA UJIJI ZAFANYIKA , WANAFUNZI WAONYWA KUMTANGULIZA MUNGU. perfomance

Posted on: March 6th, 2019

Na mwandishi wetu

Mkuu wa wilaya ya Buhigwe Luteni  Kanal Micheal Masala Nganyalina leo  march 6, katika uwanja wa Lake Tanganyika  uliopo manispaa ya Kigoma/ ujiji asema serikali itaendelea kuwachukulia hatua waharifu na wanaosababisha uharifu katika kuhafifisha  ufaulu kwa watoto  wa kike kwa kuwatumikisha na kuwafanyia vitendo vya uharifu.

Ameyasema hayo alipokuwa mgeni rasmi katika sherehe hiyo iliandaliwa na idara ya elimu Manispaa ya KIgoma /Ujiji kutokana na kuendelea kuona ufaulu kwa watoto wa kike kuendelea kuwa mbaya kuanzia mwaka 2014 hadi matokeo ya mwaka wa 2018.

Akizungumzia taarifa iliyotolewa na Kaimu afisa elimu msingi Ndugu. Kisinga(kwa jina moja)  ya kuporomoka kwa ufaulu wa wanafunzi wa kike Manispaa ya Kigoma/Ujiji amesema hali ni mbaya ukilinganisha na ufaulu wa watoto wa kike na kusema ni lazma wataalamu wa elimu kukaa na kuhakikisha wanafunzi wa kike matokeo yao yanakuwa juu ukilinganisha na matokeo yaliyopita ya darasa la saba ambapo kwa mwaka 2014 walifaulu kwa asilimia 18.6 na kuzidi kuporomoka ambapo kwa mwaka 2018 wanafunzi wa kike wamefaulu kwa asilimia 10.9 ukilinganisha na wanafunzi wa kiume.

Katika  sherehe hizo Mstahiki Meya wa manispaa ya Kigoma/Ujiji  Mhe. Hussein Ruhava akitoa nasaha zake amewataka wanasiasa kkuhubiri katika majukwaa  wanafunzi wa kike kupata fursa sawa kama wanafunzi wa kiume na kuachana na masuala ya kuwatumikisha kazi za nyumbani pamoja na masoko ya usiku.

Ameendelea kusema kwa sasa wanafunzi wa kike wasiogope kwenda shule hata wanapokuwa katika siku zao kwani nguo za kujisitiri tayari zinapatikana mashuleni, vyumba vya kujikagua mashuleni na uwepo wa walimu wa ushauri nasaha katika kila shule.

Naye kaimu Mkurugenzi wa manispaa Ndugu. Brown Nziku amesema tayari bajeti imepangwa kwa ajili ya kukuza miundombinu na mazingira ya kujifunza kwa wanafunzi wa kike na serikali inaendelea kujenga miundombinu kuhakikikisha wanafunzi waliokosa nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza wanapata nafasi ya kuendelea na masomo hasa katika sekondari inayojengwa kata ya Buzebazeba.

Katika sherehe hiyo iliambatana na burudani mbalimbali nyimbo na maigizo kutoka kwa wanafunzi  pamoja na kuleta viongozi mbalimbali wa kike na kuzungumza na wanafunzi katika kuleta hamasa kwa wanafunzi wa kike ili waweze kufikia malengo yao.

PICHA ZA TUKIO HUSIKA INGIA KATIKA MAKTABA YA PICHA.

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa