• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

SHULE MPYA, TUMAINI JIPYA WANAFUNZI BUHANDA. School

Posted on: January 10th, 2026

Na Mwandishi Wetu

Shule Mpya ya awali na Msingi katika Kata ya Buhanda inarajiwa kuwa matumaini katika kufikia ndoto ya elimu kwa Wanafunzi wa Mtaa wa Mgeo Kata ya Buhanda Manispaa ya Kigoma/Ujiji kwa kupunguza kutembea umbali mrefu.


Ujenzi wa miundombinu umefikia asilimia tisini na nane (98%) ambapo kwa sasa ukamilishaji wa madawati, viti na meza ukiwa unaendelea.


Wanafunzi wanatarajia kuanza masomo yao hivi karibuni katika Shule hiyo wakigawanywa kutoka Shule Mama (Shule ya Msingi Mwasenga na Butunga) za Kata hiyo.


Kwa sasa Wanafunzi wa Mtaa wa Mgeo wanatembea Wastani wa Km 3 kwenda Shule ya Msingi Mwasenga  na Butunga ambapo kuanza kwa masomo katika Shule hiyo kutafanya Wanafunzi kutembea Wastani wa Km 1 kwenda Shuleni hapo.


Serikali ya Awamu ya Sita imetekeleza ujenzi wa Shule hiyo Mpya kupitia Mradi wa BOOST ili kusogeza huduma, kuepuka wanafunzi kutembea umbali mrefu na kupunguza wingi wa Wanafunzi madarasani.


Ujenzi wa Shule ya Awali na Msingi unatekelezwa kwa gharama ya fedha za Kitanzania zaidi ya Million Mia tatu (Tsh 342,900,000/=).


Uenzi huu unahusisha jengo la Utawala, Vyumba vya madarasa viwili (02) vya elimu ya Awali, Vyumba Sita (06) elimu Msingi, Madawati , Viti,  Meza na Matundu ya Vyoo kumi na nane(18).



Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz


Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • SHULE MPYA, TUMAINI JIPYA WANAFUNZI BUHANDA. School

    January 10, 2026
  • MOTISHA KWA WALIMU NA SHULE ZINAZOKUZA UFAULU KUANZA KUTOLEWA KIGOMA UJIJI. Director

    January 09, 2026
  • "TUONGEZEJUHUDI KUWAHUDUMIA WANANCHI" KISENA MABUBA. Director

    January 09, 2026
  • WALIMU KIGOMA UJIJI WAANZA KUNOLEWA MFUMO WA KIDIGITALI. Digital learning

    January 07, 2026
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa