• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

SHULE YA MSINGI MGUMILE YAZINGIRWA NA MAJI YA ZIWA,  SERIKALI YAJENGA MADARASA YA MDA, School Infansructure

Posted on: June 29th, 2020

Na Mwandishi wetu 

Shule ya Msingi Mgumile iliyopo kata ya Kagera Manispaa ya Kigoma/Ujiji imezingirwa na maji ya ziwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha mwanzoni mwa mwezi marchi  na kufanya Manispaa hiyo kuanza na ujenzi wa madarasa ya mda


Akizungumza Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndugu Mwailwa Pangani alipokuwa  akikagua hatua za ujenzi na ukamilishaji wa madarasa hayo ya mda amesema maji hayo yalizingira shule baada ya likizo iliyotangazwa nchini kutokana na Mlipuko wa Ugonjwa wa Corona hali ambayo mwanzoni walidhani maji yangepungua na kuisha miundombinu ikiwa salama


Ameendelea kusema maji yaliyojaa katika eneo hilo la shule limesababisha madarasa na nyumba za walimu kujaa maji suala lililoleta usumbufu kwa walimu kuacha Makazi hayo na kutafuta makazi mengine huku miundombinu ya majengo ikisalia kuwa katikati ya  maji


Mkurugenzi huyo amesema tayari hatua za awali zimechukuliwa kutokana na maji hayo kutopungua ambapo madarasa ya mda nane (8) yamejengwa , Ofisi moja (1) ya walimu pamoja na vyoo vya walimu na wanafunzi vilivyogharimu kiasi cha Fedha Milion ishirini na mbili (Tsh 22,000,000/=) katika eneo alilolitoa mwananchi huku nguvu ya wananchi ikitumika katika kuhamisha madawati na vitabu kutoka shule ya awali

Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo ameishukuru Serikali kwa hatua za haraka za ujenzi wa miundombinu ya shule kwa haraka na kwa wakati huku akisema vipindi vya masomo tayari vimeanza kwa baadhi ya madarasa na hapo kesho wanampango wa kuendelea na ratiba kama ilivyo kuwa imepangwa    


Naye mmoja wa wananchi aliyetoa ardhi ya hekari 4 Ndugu Mangereka Ramadhani  amesema ametoa ardhi hiyo ili wanafunzi waendelee na masomo yao kama ilivyo kuwa awali na changamoto waliyokumbana nayo ya kukaa likizo ya mda mrefu iliyotokana na ugonjwa wa Corona


Ameendelea kusema katika kutoa ardhi ni pamoja na kuunga Juhudi za Serikali ambapo imeboresha na kujenga miundombinu mbali mbali ya Afya,  na Elimu Nchini   ikiwa ni katika kuboresha mazingira ya wananchi Wanyonge  


Naye mmoja wa Wananchi Bi. Marry Hassan ameishukuru Serikali kwa kujenga miundombinu  

ya haraka ili Kunusuru kupotea kwa vipindi vya wanafunzi katika ujifunzaji, na kusema changamoto ya kujaa maji imeleta athari kubwa sana kwa miundombinu ya serikali hata baadhi ya Makazi ya Wananchi Kuvunjika huku akiitaka serikali kuja na mkakati wa kujenga madarasa ya kudumu tofauti na eneo la awali  la shule hiyo



Picha zaidi ingia maktaba ya picha www.kigomaujijimc.go.tz



Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa