• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

SHULE ZA MSINGI MPYA 4 KUJENGWA, NA UKARABATI WA SHULE KONGWE KIGOMA UJIJI. Education infrastructure

Posted on: July 16th, 2025

Na Mwandishi Wetu

Manispaa ya Kigoma/Ujiji imepokea kiasi cha fedha za Kitanzania zaidi ya Billioni mbili na Millioni Mia tano (Tsh 2,504,597,857.00/=) Kutoka Serikali Kuu kupitia Mradi wa BOOST kwa ajili ya Ujenzi wa miundombinu ya elimu ya awali na Msingi.


Fedha hizo zinatarajia kujenga Shule Mpya za Awali na Msingi nne (04) zenye Mkondo mmoja katika Kata za Kagera eneo la Mgumile, Kibirizi eneo la Buronge, Buhanda na Businde Kila Shule ikigharimu kiasi cha fedha za Kitanzania zaidi ya Million Mia tatu arobaini na mbili (Tsh 342, 900,000/=).


Pia fedha hizo zinalenga Kukarabati Shule Kongwe ikiwemo Shule ya Msingi Kagera kwa gharama ya Tsh 111, 197, 857/= na ukarabati wa Shule ya Msingi Ujiji kwa gharama ya Tsh 151,000,000/=.


Aidha ujenzi wa miundombinu ya madarasa na Matundu ya vyoo yanatarajia kujengwa katika Shule ya Msingi Bushabani, Rasini, Kagera, Kitongoni, Kipampa, Burega, Uhuru na Shule ya Msingi Mwenge.


Serikali ya Awamu ya Sita chini ya  Rais Dr.  Samia Suluhu Hassan imeendelea  kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia ili watoto wa Kitanzania wapate elimu bora katika mazingira rafiki na salama.


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • SHULE ZA MSINGI MPYA 4 KUJENGWA, NA UKARABATI WA SHULE KONGWE KIGOMA UJIJI. Education infrastructure

    July 16, 2025
  • ZAIDI YA MILLION 63 ZATOLEWA KWA MAKUNDI MAALUMU KIGOMA UJIJI. Social Development

    July 07, 2025
  • MKUU WA MKOA KIGOMA BALOZI SIRO AKABIDHIWA OFISI.Regional Commissioner

    July 02, 2025
  • MRADI WA SHULE BORA WAWAKUTANISHA WALIMU WAKUU WA MKOA WA KIGOMA. Shule bora project

    June 25, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa