• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

"TOENI ELIMU YA SENSA YA WATU NA MAKAZI " DC KIGOMA education

Posted on: June 2nd, 2022

Na Mwandishi Wetu

Mwenyekiti wa Kamati ya Sensa ya Watu na Makazi Wilaya ya Kigoma ambaye ndiye Mkuu wa Wilaya hiyo Bi. Ester Alexander Mahawe amewataka wajumbe wa kamati hiyo ngazi ya Wilaya kuendelea kutoa elimu ya Ushiriki wa Wananchi katika zoezi hilo linalotarajia kufanyika Agosti 23, 2022

Ameyasema hayo leo June 2, 2022 katika kikao cha kwanza cha kamati hiyo kilichofanyikia  Kigoma Social hall huku akiwataka wajumbe kutoa elimu na kusimamia kamati zilizoundwa  ngazi ya kata, Mitaa na vitongoji ili kuhakikisha elimu inawafikia Wananchi na wakazi  kushiriki Sensa kikamilifu

Amesema umuhimu wa Sensa ya Watu na Makazi kwa Watanzania ni pamoja na Serikali kupata taarifa za msingi  zitakazosaidia mchakato wa Utekelezaji wa dira ya Maendeleo ya Mwaka 2025, mageuzi ya masuala ya afya na jamii, pamoja na ufuatiliaji wa ajenda za maendeleo kitaifa na kimataifa

Ameendelea kusema umuhimu mwingine ni pamoja na Serikali kujua na kupata takwimu ya Ongezeko la idadi ya watu itakayosaidia katika upangaji bajeti na Maendeleo kwa Wananchi

Mratibu wa Sensa ya Watu na Makazi Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Frednand Filimbi amesema kamati hiyo imeshaanza utoaji wa   elimu kupitia vyombo vya habari, Tovuti za Serikali,  Mitandao ya Kijamii na elimu itaendelea kupitia mikutano ya Wananchi, Taasisi za dini na makundi mbalimbali ili kuwafikia Wananchi wengi

Aidha kikao hicho kimejadili Majukumu ya wajumbe,  kupitia Miongozo ya kazi, na kujadili maandalizi ya Sensa ya Watu na Makazi 2022

#sensayawatunamakazi2022 #sensa2022 #jiandaekuhesabiwa  


Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DC KIGOMA AONGOZA WANANCHI KUFANYA USAFI, KUELEKEA SIKU YA USAFI DUNIANI. Sanitation

    June 02, 2025
  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa