• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

"TUBORESHE ELIMU KIGOMA/UJIJI" DC KIGOMA education

Posted on: February 16th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Ndugu. Salum Hamisi Kali amewataka maafisa elimu kata Manispaa ya Kigoma/Ujiji kusimamia suala la ufundishaji na ujifunzaji kwa lengo la kuendelea kukuza elimu na viwango vya ufaulu Shuleni

Ameyasema hayo Leo February 16, 2023 alipofanya kikao na maafisa elimu ngazi ya Kata katika ukumbi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji

Mkuu huyo wa Wilaya amewataka kusimamia na kudhibiti utoro kwa kufanya vikao na kamati za Shule kwa kushirikiana na Wenyeviti wa Serikali za mitaa na   kubaini Wanafunzi ambao wanashindwa kuhudhuria masomo na kuhakikisha Wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na masomo ya upili wanaripoti kabla ya March 01, mwaka huu

Aidha amewataka maafisa elimu hao kusimamia miradi inayoendelea kujengwa kwa kuhakikisha thamani ya miradi na fedha  iliyopangwa vinaendana

Awali Afisa Elimu Msingi Ndugu. Richard Mtauka kwa niaba ya Afisa elimu Sekondari amesema Wanafunzi 5574 sawa na asilimia 92 wameanza masomo huku ambao hawajaripoti wakiendelea kufuatiliwa  na maafisa elimu ngazi ya kata wakishirikiana na viongozi ngazi ya mtaa  

Naye Afisa elimu kata ya Rusimbi Ndugu. Lilenga Issaya amemhakikishia Mkuu huyo wa Wilaya kufanya kazi kwa pamoja kwa kushirikiana na Viongozi wa elimu hata kuwashirikisha katika mikutano ya kitaaluma kwa lengo la kuinua ufaulu na viwango vya elimu kwa shule za Msingi na Sekondari

Mkuu huyo wa Wilaya amekuwa akikutana na makundi mbalimbali ya wadau wa maendeleo kwa lengo la kupanga na kuweka mikakati katika sekta mbalimbali  na ameahidi kufanya ziara Shuleni kwa kufanya vikao na Walimu pamoja na Wanafunzi kwa lengo la kukuza viwango vya elimu  

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa