• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

"TUDUMISHE AMANI ILIYOPO" MSULUZYA idepent day

Posted on: December 9th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Katibu Tawala Msaidizi Serikali za Mitaa Mkoani Kigoma Ndugu. Moses Msuluzya amewataka Wananchi  wa Wilaya ya Kigoma kudumisha amani iliyopo  Nchini Tanzania

Ameyasema hayo Leo Desemba 9, 2022 katika Kongamano la miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania bara awali ikiitwa Tanganyika liloandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kigoma   likifanyikia Ukumbi wa NNSF Kigoma

Amesema Wananchi wa Wilaya ya Kigoma na Watanzania wote kila mmoja ana wajibu wa kuhakikisha analinda amani iliyoasisiwa na Viongozi wa Taifa hilo pasipo kuruhusu vurugu ya aina  yeyote

Aidha amewataka Wananchi hao kutumia fursa zilizopo Mkoani Kigoma kama kilimo cha Michikichi ya Kisasa, Uvuvi, biashara na kutumia mipaka ya Nchi jirani katika kujiongezea kipato na  kukuza Uchumi  

Amewataka Wakuu wa taasisi, Idara na Vitengo Serikalini kuendelea kutoa taarifa  kwa Wananchi juu ya miradi ya  maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Wilaya hiyo katika kuboresha huduma za jamii

Katika kongamano hilo Wakuu wa taasisi wameeleza mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha miaka 61 tangu uhuru wa Tanganyika awali ikiitwa Tanganyika kabla ya kuungana na Zanzibar Mwaka 1964 na Kuuitwa Tanzania

Kongamano hilo limehudhuliwa  na Barozì mdogo wa Burundi Nchini Tanzania, Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Kigoma, Wakurugenzi wa Taasisi, Wakuu wa idara, Viongozi wa Kisiasa, Wananchi na Wandishi wa habari  

Kauli mbiu ya Mwaka huu ni "  Miaka 61 ya Uhuru, Amani na Umoja ni nguzo ya Maendeleo yetu ".

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa