• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

UJENZI WA SOKO LA KIBIRIZI KISASA MICHORO YAWASILISHWA, AHADI YA RAIS YAENDELEA KUTEKELEZWA market

Posted on: February 11th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Michoro ya ujenzi wa soko la Kibirizi kisasa Jana February 10, 2023 iliwasilishwa  Kwa Wakuu wa idara na Vitengo,wakiwa na Viongozi wa Wafanyabiashara wa soko hilo

Uwasilishaji huo ulifanyika katika Ukumbi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji na Wataalamu na Wahandisi kutoka mamlaka ya Bandari (TPA) mara baada ya kufanya upembuzi wa awali

Mhandisi kutoka Mamlaka ya Bandari (TPA) Makao makuu Eng. Twaha Msita  awali akiwasilisha Mwonekano wa michoro ya Ujenzi wa soko hilo alisema awali ziara ilifanyika katika soko hilo kwa lengo la kutambua ukubwa wa eneo na kujua gharama za vifaa vya ujenzi katika Manispaa ya Kigoma/Ujiji

Aliwasilisha michoro itakayojengwa katika Soko hilo ikiwa ni pamoja na michoro  ya Ujenzi wa  Shedi za Wafanyabiashara wa mazao ya uvuvi, Mabanda,  michoro ya Ujenzi wa Migahawa ya vyakula, michoro ya  ujenzi wa vituo vya kupaki daladala, Bajaji na boda boda

Mhandisi kutoka Mamlaka ya Bandari (TPA) Eng. Hamis Mbutu aliwataka Wataalamu, Viongozi wa Wafanyabiashara, Wafanyabiashara pamoja na Wananchi kuendelea kutoa maoni juu  ya Ujenzi wa soko hilo na kujengwa kulingana  mahitaji ya Watumiaji wa  soko hilo

Aidha katika kikao hicho, Wataalamu na Viongozi wa Wafanyabiashara walitoa maoni na mapendekezo ya awali, huku akisema maoni mengine yataendelea kukusanywa kwa Wadau kama Vile Wafanyabiashara,  Wananchi pamoja  na Viongozi wa Kisiasa na Serikali

Itakumbukwa pia ujenzi wa soko hilo kisasa ni ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan aliyoitoa October 18, 2022 akiwahutubia wananchi wa eneo la Kibirizi mara baada ya kuweka jiwe la Msingi katika Ujenzi wa bandari ndogo eneo la Kibirizi

Rais alisema kutokana na maboresho ya Bandari yanayoendelea Serikali italeta fedha ili mabanda yaliyopo soko la kibirizi yajengwe kisasa kwa lengo la kuboresha mazingira ya Wafanyabiashara wa soko hilo waliopo jirani na bandari hiyo

Ujenzi wa soko hilo la Kibirizi kisasa utawanufaisha Wafanyabiashara soko kuwa na Miundombinu ya Kisasa, Uwepo wa mifumo ya Ulinzi na Usalama, kukua kwa biashara ya Wafanyabiashara,  na Halmashauri katika ukusanyaji wa Mapato



Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa