• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

UZINDUZI WA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA NCHINI KUFANYIKA MKOANI KIGOMA Election issue

Posted on: May 29th, 2024

Na Mwandishi Wetu

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru  ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu. Ramadhani Kailima amewataka Watanzania kujitokeza kwa Wingi katika zoezi la uboreshaji wa daftari la Wapiga kura linalotarajiwa kuzinduliwa Mkoani Kigoma July 1, 2024.


Mkurugenzi huyo ameyasema hayo Mapema Leo May 29, 2024 alipokuwa akiongea na vyombo vya habari katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma huku akisema  Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (MB).


Amesema siku ya uzinduzi ndiyo siku ambayo pia uboreshaji utaanza Mkoani Kigoma na kuendelea katika mikoa mingine ya Katavi, Rukwa na Tabora ambapo kwa kila Kituo zoezi lifanyika kwa mda wa Siku saba.


Mkurugenzi huyo ameendelea kusema katika uboreshaji wa Daftari la Wapiga kura Nchini Tume huru inatarajia kuandikisha Wapiga kura wapya Zaidi ya Million tano (5, 586, 433), Wapiga kura wanaotarajia kuboresha taarifa zao zaidi ya Million nne (4, 369, 531) na baada ya uboreshaji Tume huru inatarajiwa kuwa  na Daftari litakalokuwa na jumla ya wapiga kura zaidi ya Million thelathini na nne (34,746,638).


Aidha amesema Mkoani Kigoma Tume inatarajia kuandikisha wapiga kura wapya 224,355 katika vituo zaidi ya elfu moja (1,162)  ikiwa ni ongezeko la 21% na baada ya uandikishaji Mkoa wa Kigoma utakuwa na wapiga kura 1,267,636.


Pia amesema Tume huru imefanya usanifu na kuboresha Mfumo wa Uandikishaji wa Wapiga Kura  ambapo Watu watakuwa  na uwezo wa kuboresha taarifa zao kupitia simu za Mkononi kupitia mfumo wa Voters Registration System-VRS.


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa