• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

"VIONGOZI WA DINI ENDELEENI KUKEMEA VITENDO VYA UKATILI" RAS KIGOMA against Violence

Posted on: December 8th, 2022

Na Mwandishi  Wetu

Viongozi wa dini  jana Desemba 08, 2022 wametakiwa kuendelea kukemea vitendo vya ukatili ambavyo vimekuwa vikijitokeza katika jamii ikiwa ni katika kuadhimisha siku kumi na sita (16) za kupinga ukatili wa Kinjisia

Aliyasema hayo Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Ndugu. Albert Msovela Gabriel    Alipokuwa Mgeni rasmi katika Kongamano la kupinga vitendo vya ukatili vya Wanawake na Watoto lililoandaliwa na  shirika la Norwegian church Aid(NCA)

Alisema katika kutokomeza vitendo vya ukatili Viongozi wa dini hawana budi kutumia Maandiko Matakatifu kutoka katika Biblia na  Quran kwa lengo la kukemea Mila na Desturi potofu za Kupinga Vitendo vya ukatili

Aidha aliwataka Wananchi kuwapuzia Waganga wa Jadi wanaokuwa na masharti yanayochochea vitendo vya ukatili kama vile mauaji kwa watu wenye ulemavu, ubakaji pamoja na Vitendo vya ulawiti

Alihitimisha kwa kuwataka Wananchi kuendelea kufichua vitendo vya ukatili na   kuzitaka  Taasisi za Sheria na vyombo vya habari kuendelea kuelimisha jamii na kuripoti matukio hayo kutokana na athari zitokanazo na vitendo hivyo

Akiwasilisha taarifa katika Kongamano hilo Afisa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Kigoma Ndugu. Petro Mbwaji Alisema tayari askari wa Jeshi la Polisi themanini na Saba (87) wamejengewa uwezo katika kushughulikia vitendo hivyo

Aliendelea kusema Walimu wa Unasihi Mashuleni Mia nane themanini na nane  (888) wamejengewa na kupatiwa mafunzo na kujengewa uwezo namna ya Kushughulikia vitendo vya ukatili

Alisema vituo vinne (04) vya Mkono kwa Mkono vimejengwa kwa lengo la kurahisishwa Mhangwa wa vitendo vya ukatili kupatiwa huduma hiyo katika Wilaya ya Kibondo, Kakonko, na  Hospitali ya Rufaa ya Maweni


Mratibu wa masuala ya Ukatili wa Kijinsia  kutoka Shirika  la Norwegian Church aid Bi. Zaria Mwenge alisema Shirika hilo limeendelea kutoa elimu kwa Wanawake na Watoto juu nnamna ya kupinga vitendo hivyo huku likiwajengea uwezo wanawake katika Mradi ya Maendeleo


Mkurugenzi wa kurugenzi ya Uchungaji Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (Tec) Fr. Florence Rutauywa na  Shekhe wa Mkoa wa Mwanza Hassan Kabeke wakichangangia katika Kongamano hilo wakisema vitabu Vitakatifu vikekataza Vitendo vya ukatili kutokana na Sheria na Amri Kumi za Mungu


Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa