• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

VIONGOZI WA DINI NA KIMILA UJIJI WAJADILI KUTOKOMEZA VITENDO VYA UKATILI. Moral discussions

Posted on: November 28th, 2025

Na Mwandishi Wetu

Ikiwa ni maadhimisho ya  Siku 16 za kupinga ukatili wa Kijinsia Viongozi wa dini na Kimila Jana Novemba 27, 2025 walikutana katika ukumbi wa Ndela uliopo Manispaa ya Kigoma/Ujiji  kwa lengo la kujadili na kutokomeza vitendo vya ukatili ambavyo vimekuwa vikijitokeza  ndani ya Jamii hasa kwa Wanawake na Watoto.


Afisa Maendeleo ya Jamii Ndugu. Jabir Majira aliwataka Viongozi hao kuendelea kuelimisha na kusimamia ili kuhakikisha kunakuwa na Jamii yenye maadili.


Aidha aliwataka kuielimisha Jamii katika malezi na maadili yanayofaa na kuendelea kutoa taarifa katika Mamlaka husika pindi vitendo vya ukatili vinapotokea.


Akichangia katika kikao hicho Mchungaji Godfrey Malela alisema kwa sasa Jamii inakabiliwa na Changamoto kujifunza utamaduni wa nje kupitia Mitandao ya kijamii huku akizitaka familia kuwa na vikao vya mara kwa mara kuzungumzia malezi na udhibiti wa Vitendo vya Ukatili.


Kauli mbiu ya Mwaka huu " Tuungane kutokomeza Ukatili wa Kijinsia Mtandaoni".


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz




Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI NA KIMILA UJIJI WAJADILI KUTOKOMEZA VITENDO VYA UKATILI. Moral discussions

    November 28, 2025
  • WANAFUNZI WA CHUO CHA UTANGAZAJI UJIJI WAPEWA MAFUNZO YA KUKABILIANA NA UKATILI MITANDAONI.

    November 27, 2025
  • BARAZA LA BIASHARA KIGOMA LAAZIMIA UANZISHAJI WA VITUO VYA KUUZA MAZAO YATOKANAYO MICHIKICHI.. Business centre

    November 26, 2025
  • "KWA SASA TUNAJENGA KWA GHOROFA SHULE ZA SEKONDARI" MABUBA Building

    November 25, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa