• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

VIONGOZI WA ELIMU WAJADILI NAMNA YA UKUZAJI TAALUMA NA UFAULU MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI education leaders

Posted on: September 29th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Viongozi wa elimu Manispaa ya Kigoma/Ujiji leo Septemba 29, 2022 wamefanya kikao cha siku moja cha kujadili namna ya uboreshaji na uwekaji mikakati ya ukuzaji taaluma huku wakizindua miongozo na mikakati ya kuboresha elimu ya Msingi na Sekondari

kikao hicho kilichofanyikia  ukumbi wa  Shule ya Sekondari Buronge kimehusisha Maafisa elimu ngazi ya Halmashauri, Maafisa elimu Kata, Wakuu wa Shule za Msingi na Sekondari

Akifungua Mkutano huo Afisa elimu Sekondari Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Lawi Kajanja amewataka Maafisa elimu Kata na Wakuu wa Shule kusimamia kikamilifu suala la ufundishaji na ujifunzaji kwa kuzingatia miongozo na sera ya elimu Nchini

Aidha amewataka viongozi hao kusimamia suala la Ukuaji wa taaluma na maadili ili kuzalisha na kuandaa wataalamu waliobora katika fani mbalimbali  

Naye Katibu Msaidizi wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC)  Ndugu. Obadia Makoko amesema katika taasisi za elimu kumekuwa na vitendo visivyo vya maadili kama vile utoro wa  baadhi ya Walimu  kazini, kutofundisha vipindi na baadhi ya vitendo vya ukatili vinavyoweza kusababisha Matokeo mabaya katika maendeleo na mitihani ya Wanafunzi hali inayowezeza kusababisha kuzalisha wataalamu  na jamii isiyo na maadili

Amewataka Viongozi hao kutofumbia macho vitendo hivyo vya utovu wa nidhamu kazini na kusimamia maadili ya kazi kikamilifu   kwa  kushughulikia katika nafasi zao pale vitendo hivyo vinapojitokeza  ili kuhakisha ukuaji wa elimu katika Manispaa hiyo

Aidha amesema kuvunjwa kwa maadili ya kazi kwa Walimu wawapo kazini kunaweza kupelekea adhabu mbalimbali ikiwemo kupata barua za onyo, kuzuia ongezeko la mshahara, kushushwa kwa ngazi ya mshahara au kufukuzwa kazi  

Katika kikao hicho Wataalamu hao kwa pamoja wameweka mikakati ya kuhakikisha wanasimamia suala la ufundishaji kwa Walimu, kuzingatia maadili ya kazi na kuimarisha Ulinzi na Usalama wa ujifunzaji Mwafunzi

Katika kikao hicho miongozo iliyozinduliwa ni pamoja na  muongozo wa uteuzi wa Viongozi  wa elimu katika Mamlaka  za Serikali za Mitaa  na Mikoa ,  mwongozo wa Changamoto  katika uboreshaji wa elimu Msingi  na Sekondari na nini kifanyike,   na muongozo wa kitabu cha kuimarisha ufundishaji  na ujifunzaji katika   ngazi ya  elimu msingi

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa