• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

VITAMBULISHO VYA WAZEE 568 VYAGAWIWA KWA BARAZA LA WAZEE MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI , identity card

Posted on: August 29th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji imetoa vitambulisho vya Wazee Mia tano sitini na nane (568)  kwa Baraza la Wazee la Manispaa hiyo vitakavyosaidia upatikanaji wa huduma mbalimbali ikiwemo huduma za Matibabu ya bure

Vitambulisho hivyo vilitolewa siku ya Ijumaa Agost 26, 2022 na Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndugu. Athumani Msabila   huku akianza na Kata sita (06) kati ya Kata Kumi na Tisa (19)  zilizopo katika Manispaa hiyo

Mkurugenzi huyo alisema tayari  Wazee  Elfu moja mia mbili themanini na tisa (1289) tayari wametambuliwa katika kata mbalimbali zilizopo katika manispaa hiyo na zoezi la kuwatambua bado linaendelea    

Mkurugenzi huyo aliitaka jamii kuendelea kuwaheshimu wazee katika Maeneo mbalimbali kutokana na mchango wao wa kulihudumia Taifa  katika sekta mbalimbali huku akizitakà Taasisi za Serikali na zisizo za Serikali kuwapa kipaumbele katika huduma mbalimbali kutoka a na vitambulisho hivyo ambavyo watavitumia

Aidha Mkurugenzi huyo alisema vitambulisho vya Wazee vinaendelea kuzalishwa huku akisema Wazee wote waliotambuliwa watapewa vitambulisho hivyo kwa lengo la kuwasaidia kutumia katika huduma mbalimbali    

Naye Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Manispaa ya Kigoma/Ujiji Mzee Zuberi Kisongo alimshukuru Mkurugenzi huyo kwa kuwathamini Wazee katika vitambulisho vilivyotolewa ambavyo vitawasaidia kupata huduma za bure na haraka katika taasisi mbalimbali

Alisema tayari Baraza la Wazee limeweka utaratibu wa kupita kila Kata kwà ajili ya kugawa vitambulisho hivyo ambavyo wamekabidhiwa tayari

Wazee walioanza kupatiwa vitambulisho vya wazee ni ķutoka kata sita (6) ikiwemo kata ya Kigoma, Bangwe,  Mwanga Kusini, Machinjioni, Rubuga na Kata ya Kitongoni  



Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa