• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

WAKUU WA IDARA NA VITENGO KIGOMA/UJIJI WATAKIWA KUJENGA UPENDO MAHALA PA KAZI ,, semina

Posted on: July 21st, 2022

Na Mwandishi Wetu

Wakuu wa idara na  Vitengo Manispaa ya kigoma/Ujiji wametakiwa kujenga Mahusiano mazuri  kwa kuwa na upendo mahala pa kazi na watumishi wanaowaongoza

Yamesemwa hayo na Mwezeshaji wa Mafunzo ya Malezi, Unasihi na Ulinzi wa Mtoto Kitaifa Ndugu. Cornel Kisinga  katika Mafunzo yaliyoandaliwa na Shirika la UNICEF la  kuijengea uwezo  Kamati tendaji ya Halmashauri (CMT) juu ya Ulinzi na Usalama wa Watoto na Wanawake  iliyofanyika Leo July 21, 2022 katika Ukumbi wa Manispaa hiyo

Amesema katika kuhakikisha malengo ya Taasisi yanafikiwa Wakuu wa Idara na Vitengo wana wajibu wa kusimamia na kuhakikisha Watumishi wanaowaongoza wanajua malengo ya idara zao , Matumizi sahihi ya Rasilimali, na kujua Sheria zinazoongoza utendaji wao

Aidha amesema upendo baina ya watumishi ni muhimu  mahala pa kazi na nje ya maeneo ya kazi ili kusaidiana katika mambo mbalimbali jambo linalokuza ufanisi wa kazi  na kufìkia malengo yaliyokusudiwa

Mratibu wa Mafunzo ambaye pia ni Afisa Ustawi wa jamii Manispaa ya Kigoma/Ujiji Bi. Agnes Punjila amewataka Viongozi hao kuhakikisha wanawalinda Watoto na Wanawake katika vitendo vya ukatili ambavyo vimekuwa vikijitokeza katika Jamii huku wakiaswa kuwa na mda wa kutosha wa kukaa ili  kujadili changamoto na Mafanikio ya familia    

Mkuu wa idara ya Elimu Sekondari Ndugu. Kanjanja Lawi amesema Mafunzo hayo ni mhimu kwa watumishi wote  ili kukuza utendaji mahala pa kazi, kukuza mahusiano na namna ya kushughulikia migogoro

Mada nyingine iliyowasilishwa ni pamoja na Msaada wa Kisaikolojia na changamoto za Kisaikolojia kama vile Afya ya akili, na namna  ya kushughulikia msongo wa mawazo mahala pa kazi  

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • RC ANDENGENYE AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA MKOA WA KIGOMA. Malaria protection

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa