• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

WALIOKOSA ELIMU RASMI KUHAMASISHWA KUSOMA KUPITIA MEMKWA Education

Posted on: March 20th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Viongozi na wadau wa elimu ngazi ya kata na Mitaa Manispaa ya Kigoma/Ujiji wametakiwa kuihamasisha jamii kujiunga na Mpango wa elimu ya Msingi kwa Watoto Walioikosa (MEMKWA)

Yamesemwa hayo na Mwezeshaji wa mafunzo ya MEMKWA Kitaifa kutoka taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Dr. Sempeho Siafu Leo March 20, 2023 wakati wa mafunzo ya kuwajengea Walimu wa MEMKWA kufundisha Wanafunzi kwa tija

Mafunzo hayo yamefanyikia ukumbi wa Jengo la Chama cha Walimu (CWT) Kigoma yakihusisha  Maafisa Watendaji Kata, Maafisa elimu Kata, Wenyeviti wa Serikali Za Mitaa, Maafisa Maendeleo ya Jamii,  Walimu wakuu na Walimu wa MEMKWA yakofadhiliwa na Shirika la UNICEF

Mwezeshaji wa mafunzo ya MEMKWA Kitaifa kutoka Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Bi. Oliver Kindole amesema elimu hiyo hufundishwa stadi za Kusoma, Kuandika na kuhesabu pamoja na Stadi za  maisha, Falsafa ya Ujasiriamali, na stadi za ufundi kwa lengo la kuchangia Maendeleo ya Taifa pindi anapohitimu masomo

Amesema elimu ya MEMKWA hutolewa kwa kundi rika umri wa miaka  8-13 na kwa vijana walio na umri 14-18 na baadae hujiunga katika mfumo wa elimu rasmi  kwa kufanya mtihani wa Darasa la nne na la Saba

Naye Afisa elimu Watu wazima Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Cornel Kisinga amesema  Vituo vya MEMKWA  vipo katika Shule zote za Msingi za Serikali  zipatazo arobaini na tano (45) zilizopo katika Manispaa hiyo

Amesema jamii inapaswa kuhakikisha Watoto wote wanapata elimu pasipo kikwazo chochote ili kupunguza ongezeko la Watoto mtaani , kupunguza idadi ya Watu wasiojua Kusoma, Kuandika na kuhesabu, kupunguza ajira za utotoni na ukatili katika jamii

Tamko la Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Nchini inataka kupata idadi kubwa ya Watanzania walioelimika, Wanaopenda kujielimisha,   ili waweze kuchangia Maendeleo ya Taifa na Serikali imetoa fursa kwa Watoto waliokosa elimu kupitia Mpango wa elimu ya Msingi kwa Watoto Walioikosa (MEMKWA)


Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa