• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

"WANANCHI JITOKEZENI KUPATA MATIBABU YA KIBIGWA" RAS KIGOMA.

Posted on: September 30th, 2025

Na Mwandishi Wetu

Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Ndugu. Hassan Rugwa amewataka Wananchi na wakazi wa Mkoa wa Kigoma kujitokeza kupata huduma za matibabu ya Kibingwa kwa awamu ya nne katika kambi za Madaktari bingwa na Madaktari bobezi.


Ameyasema hayo Leo Septemba 29,2025 katika ukumbi wa Jengo la Mkuu wa Mkoa wa Kigoma alipokuwa akizindua kuanza kwa Utoaji wa huduma za matibabu ya Kibingwa katika Halmashauri za Mkoa.


Aidha amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo ameendelea  kusogeza huduma za matibabu ya kibingwa Karibu na Wananchi na kuwafikia Watu wengi kwa gharama nafuu.


Mganga Mkuu wa Mkoa Dr. Damas Kayera amesema Mkoa wa Kigoma umepokea Madaktari arobaini na nane (48) ambao watahudumia Wananchi na kuwajengea uwezo Watumishi wa Kada ya afya katika Halmashauri zote nane (08) za Mkoa wa Kigoma kwa mda wa siku Saba (07) kuanzia Septemba 29 hadi Oktoba 03, Mwaka huu.


Amesema katika Awamu tatu  za Matibabu zilizopita Wananchi na wakazi wa Mkoa wa Kigoma 7,605 walipata huduma za Matibabu ya Kibingwa huku Wananchi 380 wakipata huduma za upasuaji na Watumishi 288 walijengewa uwezo katika Utoaji huduma.


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • ULINZI WA MTOTO WAJADILIWA KIKAO CHA LISHE KIGOMA/UJIJI. Child protection

    September 30, 2025
  • AJIRA MPYA WANOLEWA KIGOMA UJIJI. Orientation

    September 30, 2025
  • "WANANCHI JITOKEZENI KUPATA MATIBABU YA KIBIGWA" RAS KIGOMA.

    September 30, 2025
  • ZAIDI YA MILLIONI MIA TANO YATOLEWA KWA VIKUNDI 58 KIGOMA UJIJI. loan

    September 25, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa