• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

WANANCHI WA MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI WATAKIWA KUZINGATIA USAFI ILI KUJIKINGA NA UGOJWA WA MATUMBO, health

Posted on: January 14th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Kanali Michael Masala Ngayalina (ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe) amewataka wakazi wa Wilaya ya Kigoma kuzingatia usafi kutokana na uwepo wa wagonjwa wa Matumbo katika Wilaya hiyo

Kaimu Mkuu wa Wilaya huyo ameyasema hayo  alipokuwa katika kikao  cha Afya ya Msingi ya jamii kilichofanyikia Leo January 14, 2022 katika ukumbi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji


Amesema mapema mwezi January 2022, idadi ndogo ya Wagonjwa wa Matumbo  walitibiwa katika zahanati  na maeneo ya Kutolea huduma za Afya Manispaa ya Kigoma/Ujiji ambapo idadi hiyo imeongezeka hadi kufikia Wagonjwa kumi na nne (14) wengi wao  wakiwa raia wa Nchi jirani, wakazi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji   eneo la Kibirizi   na wengine wakitokea Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

katika kikao hicho amewataka  wakazi wa Wilaya ya Kigoma kuzingatia na kuchukua tahadhari ya Magonjwa hayo ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wananawa kwa maji safi na sabuni wakati wa kula na baada ya kutoka chooni, kuzingatia usafi wa vyakula na Maji, matumizi sahihi ya vyoo, na kujenga utamaduni wa kunawa mikono  kila mara


Aidha amewataka Wataalamu wa afya na idara zingine kusimamia na kutoa elimu ya kujikinga na magonjwa hayo katika mikusanyiko ya watu  kwa njia ya vipeperushi , vyombo vya habari na matangazo ya sauti

Amehitimisha Kwa kuwataka wakazi wa Wilaya hiyo kuhakikisha wanafika katika vituo vya Kutolea huduma za Afya na kutoa taarifa Mara baada ya kuhisi dalili za Ugonjwa huo  huku akisema tayari jitihada za kuwahudumia wagonjwa hao zinaendelea katika Zahanati ya Bangwe


Kikao hicho Kimehudhuria na Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Kigoma,  Wajumbe wa Kamati za Afya ngazi ya Jamii, Kamati ya Uchumi, elimu na Afya, Wataalamu wa Afya ngazi ya Wizara, Wataalamu kutoka KUWASA, na Mashirika ya Serikali na yasiyo ya Serikali  




Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAJASIRIAMALI WAENDELEA KUFIKIWA NA WATAALAMU KIGOMA UJIJI. Social services

    May 30, 2025
  • UGAWAJI WA VYANDARUA BURE UNAENDELEA KWENYE VITUO KIGOMA UJIJI. Health protection

    May 29, 2025
  • WAJASIRIAMALI KIGOMA UJIJI WATEMBELEWA NA WATAALAMU.

    May 28, 2025
  • RC ANDENGENYE AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA MKOA WA KIGOMA. Malaria protection

    May 28, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa