• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

WATAALAMU KIGOMA WAJADILI UDHIBITI WA UKATILI KWA WATOTO MITANDAONI. Violence against Children

Posted on: October 23rd, 2025

Na Mwandishi Wetu

Wataalamu wa Mkoa  na Halmashauri za Mkoa wa Kigoma  Jana Oktoba 21, 2025 walikutana kwa mafunzo ya Siku moja (01) kwa lengo la kujifunza namna ya udhibiti na kutokomeza ukatili wa Watoto mtandaoni.


Mafunzo hayo yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa   yakifadhiliwa na Shirika la kuhudumia Watoto Duniani (UNICEF) yalihudhuriwa na Wakuu wa Idara na Vitengo Mkoa, Maafisa Ustawi wa Jamii, Maafisa Maendeleo ya Jamii, Maafisa wa Jeshi la Polisi, na Maafisa wa Mahakama.


Akifungua kikao hicho kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa,  Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Kigoma Ndugu.  Anzuruni Msafiri aliitaka Jamii, Wazazi na walezi kudhibiti na kuwaelimisha Watoto madhara ya ukatili yatokanayo na Matumizi ya vifaa vya kidigitali licha ya faida zake ikiwemo ujifunzaji wa masomo ya kitaaluma.


Aidha aliwataka Washiriki wa mafunzo hayo kuwa mabalozi na wafundishaji wa Jamii katika kupambana na vitendo vya ukatili ndani ya jamii.


Akiwasilisha katika Kikao hicho Afisa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Kigoma Ndugu. Petro Mbwaji alisema ukatili wa mtandao ni ukatili unaofanyika kupitia Mitandao ya kidigitali na teknolojia ya Mawasiliano kutokana na matumizi ya vifaa vya kielekroniki kama vile Simu ya mkononi, kompyuta, Saa janja, na  Runinga.


Alisema Watoto wanaotumia Mitandao ya kidigitali katika umri mdogo  wamekuwa wakikutana na athari hasi kama vile kuanza ngono katika umri mdogo, uraibu wa kutumia mda mwingi Mtandaoni,  na kuongezeka kwa mmmonyoko wa Maadili.


Aliendelea kusema licha ya faida za Mitandao ikiwemo Kujifunza mambo na ujuzi mpya, kutazama video za kufurahisha nakusikiliza mziki,Wazazi wanalojukumu la kuwalinda Watoto kwa Kujenga uhusiano mzuri na mtoto kuhusu Matumizi ya TEHAMA, kumuuelimisha na kumtia moyo kutumia mtandao kwa usahihi bila vitisho.


Alisema Jamii lazima ielimishwe ili kuepuka

Udharirishaji wa Watoto kingono kupitia picha, video na vitabu vya katuni ili kuendelea kulinda Maadili ya Kitanzania.


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz





Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WATAALAMU KIGOMA WAJADILI UDHIBITI WA UKATILI KWA WATOTO MITANDAONI. Violence against Children

    October 23, 2025
  • UBUMWE YATOA MADAWATI SHULE YA MSINGI UJIJI. Cooparate Social responsibility

    October 16, 2025
  • WALIMU KIGOMA UJIJI WANOLEWA MFUMO WA KIDIGITALI. Training

    October 15, 2025
  • RC KIGOMA AKAGUA MIRADI KIGOMA UJIJI. Regional Commissioner

    October 15, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa