• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

WATAALAMU WA IDARA YA AFYA MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI WAAPA KIAPO CHA MAADILI, WASEMA KIAPO HICHO NI AGANO. Oath

Posted on: April 15th, 2019

Na mwandishi wetu

Wataalamu wa afya halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji jana April 14 waliapa kiapo cha Maadili kutokana na kuteuliwa kwa waganga wafawidhi katika vituo vya afya ili kukuza utendaji kazi na watumishi wengine kubadilishiwa vitengo kiapo hicho waliapa katika ukumbi wa halmashauri chini ya Mwanasheria wa Manispaa Ndugu. Emmanuel Mkwe ,

Akielezea sababu ya mabadiliko hayo Mganga Mkuu wa halmashauri hiyo Dr. Peter Nsanya alisema mabadiliko hayo yalifanyika baada ya baadhi ya vitengo vya idara ya afya kuwa na watu wachache na kuzidiwa katika majukumu yao.

Aliendelea kusema katika mabadiliko hayo yaliyofanyika waganga wafawidhi wa vituo vya afya(viongozi wa vituo) wahakikishe wanasimamia majukumu ipasavyo kwa kufuata utaratibu wa kutoka na kuingia kazini kwa mda uliopangwa na wahakikishe wana toa taarifa kwa walio chini yao pindi wanapokuwa wanadharura katika vituo vyao vya afya.

Naye kaimu afisa utumishi wa halmashauri hiyo Ndugu. Iddi Kalingoji akiwakumbusha wajibu wa watumishi hao alisisitiza juu ya maadili kazini katika utendaji kazi kwa kutoa huduma iliyokusudiwa kwa kumbuka sheria zinazoongoza utumishi wa Umma.

Aliendelea kuwambusha sheria ya utumishi wa Umma Namba 8 ya mwaka 2002 na sheria Namba 6 ya Mwaka 2004 kuhakikisha inatekelezwa ipasavyo ikiwa adhabu yake ni pamoja na kufukuzwa kazini, kushushwa cheo na kupunguziwa mshahara.

Aliendelea kuwasisitiza kuwa waadilifu kazini kufika kwa wakati, kuepukana na ulevi kazini, matumizi ya ofisi ya umma katika shughuli binafsi, kuwa nje ya kazi bila taarifa pamoja na kutoa siri za ofsi ikiwa ni kuvunja sheria.

Naye Mwanasheria wa Manispaa hiyo Ndugu. Emmanuel Mkwe aliwasisitiza watumishi hao kutekeleza majukumu bila kuvunja sheria na kuwaasa kuwa na utamaduni wa kusoma sheria zinazo wahusu wawapo kazini na kueleza kiapo walichoapa ni agano pamoja na Mwajiri wao ambaye ni halmashauri na kuvunja kiapo hicho ni kuvunja mkataba na Mwajiri huyo.

Akieleza kwa niaba ya wataalamu wa Afya Dr. Ramadhani Kahana kutoka dispensari ya Kigoma alisema kiapo walichokiapa ni agano na watahakikisha wanatekeleza majukumu waliyoaswa na kaimu afisa utumishi pamoja na mwanasheria wa halmashauri hiyo huku akiwataka wataalamu wengine kufikisha maagizo waliyoyapata kwa wataalamu waliopo chini yao.

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa