• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

MEYA WA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI ASAINI BILIONI 18.6 ZA UJENZI WA MIUNDOMBINU, AISIFIA SERIKALI ASEMA ''KIGOMA UJIJI KUELEKEA KUWA JIJI"

Posted on: June 10th, 2018

 

Uongozi wa manispaa ya kigoma ujiji chini ya meya Hussein Ruhava na kaimu mkurugenzi Brown Nziku  june 8, wamesaini mkataba wa ujenzi wa barabara na mitalo takribani kilomita 12 itakayogharimu shilingi billion 18.6. iliyotolewa na banki ya dunia(WORLD BANK)

Mkataba huo uliosainiwa katika ukumbi wa manispaa ya Kigoma Ujiji ukiongozwa na meya wa manispaa pamoja na aliyekaimu ofsi ya mkurugenzi  ndugu Brown Nziku, na viongozi mbalimbali waliohudhulia wakiwemo wakuu wa idara wa halmashauri hiyo wamesaini mkataba huo na kampuni ya kichina ijulikanayo kwa jina la China Railway 15th Bureau Group Corparation, akifungua mkutano huo kaimu mkurugenzi aliwakaribisha waliohudhulia na kusema mkataba huo unaenda kuleta mapinduzi makubwa ya kimaendeleo kwa upande miundombinu jambo litakalo pelekea mazingira kuwa safi na manispaa kuendelea kupaa katika viwango vya kupendeza.

Naye meya wa manispaa Hussein Ruhava akihutubia mkutano huo ametoa pongezi zake kwa serikali na kumpongeza  waziri wa TAMISEMI mstaafu mhe. Simba chawene na kutoa pongezi kwa katibu wa TAMISEMI  ndugu Mussa Iyombe pamoja na kwa uongozi wa mkoa, benki ya NMB TANZANIA na tawi la Kigoma kwa ushirikiano mzuri wa kufanikisha halmashauri ya manispaa ya Kigoma Ujiji kufanikisha halmashauri inapata mkopo chini ya usimamizi Tanzania Strategic Cities Project(TSCP)

Meya huyo aliendelea kwa kusema ujenzi huo utaleta mafanikio makubwa ikiwemo ajira kwa wakazi wa manispaa, uboreshaji wa mazingira pamoja  na manispaa hiyo kuelekea kuwa hadhi ya jiji , ameendelea kusema kata zitakazopitiwa na ujenzi huo ni kata tisa na kufafanu barabara zitakazojengwa ni pamoja na barabara ya msikiti wa Kigoma hadi Mwembetogwa, barabara ya Ujenzi sido hadi Nazareth, barabara ya Kagashe hadi katubuka , barabara ya Maweni hadi Burega , barabara ya Tanesco, press  club hadi Kigoma shule ya msingi, mfereji wa Mlole hadi Gungu na mfereji wa Kasimbu, machinjioni .

Aidha meya huyo ameendelea kuwataka waandishi wa habari   kuhabarisha jamii ya kigoma kuwataka wakazi wa mkoa wa kigoma kutoa ushirikiano kwa wakandarasi hao , na kuwataka wakazi kutunza miundombinu inayojengwa na inayoendelea kujengwa.

Naye Sun Jinlan mwakilishi wa kampuni hiyo ya China Railway 15th Bureau Group Corporation amesema ujenzi huo utafanyika kwa uzuri kwa mjibu wa mkataba uliosainiwa wa kujenga kiwango cha lami nzito, na kusema mkataba huo unatarajiwa kutekelezwa ndani ya miezi kumi na tano. Ameendelea kusema kampuni hiyo inauzoefu wa ujenzi hapa nchini na kusema kampuni hiyo imeweza kujenga  daraja la Kilombelo na Magufuli bridge.

Aidha mkutano huo umehitimishwa kwa kusainiana mkataba huo na pamoja na kupiga picha za pamoja kwa Meya wa Manispaa, kaimu  mkurugenzi , wakuu wa idara pamoja na madiwani.


Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa