• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

ZAIDI YA MILLIONI MIA TANO YATOLEWA KWA VIKUNDI 58 KIGOMA UJIJI. Free loan

Posted on: September 25th, 2025

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dr. Rashid Chuachua Leo Septemba 25, 2025 amekabidhi hundi ya mikopo isiyokuwa na riba  ya 10% kwa vikundi 58 vya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu  yenye thamani ya fedha za Kitanzania zaidi ya Millioni Mia Tano (Tsh 555,652,400/=)  Manispaa ya Kigoma/Ujiji.



Amekabidhi hundi hiyo katika mafunzo kwa Wanachama wa vikundi hivyo  yaliyoandaliwa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji kwa Kushirikiana na Benki ya CRDB yaliyofanyikia ukumbi wa Joy Harvest.


Amewataka Wanachama wa Vikundi hivyo kutumia Mikopo kwa malengo yaliyokusudiwa kwa kuzalisha kulingana na shughuli wanazozitekeleza ili kuwanufaisha, kuzirejesha kwa wakati na kunufaisha makundi mengine.


Akitoa taarifa katika mafunzo hayo Mratibu wa Mikopo Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Jabir Majira amesema kwa awamu hii ya pili ya utoaji ikopo jumla ya vikundi 58 vimenufaika na mkopo usiokuwa na riba wa fedha za Kitanzania zaidi ya  Million Mia Tano (Tsh 555,652,400/=)  Vikundi vya wanawake vikiwa 40, Vijana 15, watu wenye Ulemavu 03 kutoka katika  Kata 19 za Manispaa hiyo.


Amesema katika mafunzo hayo Wanachama hao watajengewa uwezo namna kusimamia fedha na uwekaji akiba, usimamizi na uendeshaji wa vikundi, usimamizi wa Masoko, utunzaji wa kumbukumbu,  na fursa za Manunuzi ya Umma kwa Vikundi.


Zaidi bofya www.kigomaujijimc.go.tz



Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • ULINZI WA MTOTO WAJADILIWA KIKAO CHA LISHE KIGOMA/UJIJI. Child protection

    September 30, 2025
  • AJIRA MPYA WANOLEWA KIGOMA UJIJI. Orientation

    September 30, 2025
  • "WANANCHI JITOKEZENI KUPATA MATIBABU YA KIBIGWA" RAS KIGOMA.

    September 30, 2025
  • ZAIDI YA MILLIONI MIA TANO YATOLEWA KWA VIKUNDI 58 KIGOMA UJIJI. loan

    September 25, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 HAYA HAPA

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa