• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

ZOEZI LA KUWABAINI WANAFUNZI WENYE CHANGAMOTO YA KUTOKUSIKIA (UZIWI) LAANZA KIGOMA/UJIJI Disability

Posted on: April 5th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Manispaa ya Kigoma/Ujiji imeanza zoezi la upimaji na kuwabaini  Wanafunzi wa Shule za Sekondari wenye changamoto ya kutokusikia (uziwi)

Zoezi hilo limeanza Leo April 05, 2023 kwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Buronge na Masanga kwa lengo la kuwatambua ili kubaini mbinu za ufundishaji na kuinua ufaulu katika masomo yao

Zoezi hilo limefanyika kwa kupima uwezo wa usikivu wao likihusisha uwepo wa Wazazi na Walezi ili kupata elimu namna ya kuishi nao na kupinga vitendo vya ukatili

Mtaalamu wa kuhudumia wenye Matatizo ya kutokusikia na Mwalimu. Titus Rubundi Hamis katika zoezi hilo amesema changamoto ya Kutokusikia na Uziwi  kunachangiwa na kuugua mda mrefu mara kwa mara na matumizi ya dawa kali kwa Watoto, na matibabu yasiyo rasmi

Amewataka Wazazi na Walezi kukaa na Watoto wao mara kwa mara na kubaini changamoto zao kupitia michezo na malezi ya kila siku ili kupatiwa matibabu mapema kabla ya kukua kwa tatizo

Afisa elimu Maalumu Sekondari Manispaa ya Kigoma/Ujiji Ndugu. Shingwa Hamisi Shingwa anasema Wanafunzi wenye changamoto za ulemavu wanakutana na changamoto ya kutengwa na kuwa wapweke hali inayoweza kusababisha kushuka kwa taaluma  

Amesema elimu imeendelea kutolewa  kuhusiana na elimu jumuishi ikiwemo ujenzi  miundombunu sahihi ili kuhakikisha elimu inatolewa kwa usawa

Ameitaka Jamii, Wadau na Taasisi mbalimbali kujitokeza kuwasaidia Wanafunzi na Watoto wenye changamoto ya usikivu (uziwi) kwa kutoa vifaa vya  usaidizi wa kusikia ikiwa ni pamoja na ulemavu mwingine

www.kigomaujijimc.go.tz

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa