• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

TAHADHARI KUFUATIA UTABIRI WA HALI YA HEWA MWEZI OKTOBA-DESEMBA 2018

Posted on: October 31st, 2018

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

 

HALMASHAURI YA MANISPAA KIGOMA/UJIJI





                                                                                

Simu Na.028 2802535                                            Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa,

Fax Na.  028 2802535                                                                        Halmashauri ya Manispaa,

Email address: municipal@kigomaujijimc.go.tz                         S.L.P 44,


                                                                             KIGOMA.                  

Kumb.Na. I.10/6/92

                                                                                                        Tarehe: 31 OKTOBA, 2018


TANGAZO

 

Ofisi ya Mkurugenzi Manispaa ya Kigoma/Ujiji kitengo cha Maafa inawatangazia wananchi wote kuchukua tahadhari kufuatia utabiri wa mwelekeo wa mvua  za msimu wa vuli kipindi cha Oktoba – Desemba ,2018

Maeneo yaliyotabiriwa kuwa na mvua za juu ya wastani yanaweza kukumbwa na mafuriko ambayo yanaweza kusababisha madhara kwa binadamu ,mifugo, wanyama,miundombinu na makazi .

Kutokana na utabiri huo wananchi mnatangaziwa kuchukua hatua za tahadhari kuzuia na kupunguza madhara pamoja na kukabiliana na maafa endapo yatatokea katika maeneo yenu

Mambo muhimu ya kuzingatia katika kujipanga kukabiliana na athari za mvua ni kama ifuatavyo:

  • wananchi wa maeneo ya mabondeni mnatakiwa kuhama wakati wa kipindi cha mvua na kuweka mikakati ya kuwa  salama na makazi salama
  • Kuboresha mifumo ya miundombinu kama barabara, madaraja, mifumo ya umeme na mawasiliano dhidi ya athari za mvua hizi;
  • Wananchi mnashauriwa  kupanda mbegu zinazotumia muda mfupi kukomaa pia mnasisitizwa kuweka akiba ya chakula
  • Kusafisha mitaro na mifereji ya maji na kuwa safi wakati wote;
  •  Wafugaji  mnashauriwa kuhifadhi chakula kwa ajili ya malisho, pia kupunguza idadi ya mifugo kadri itakavyofaa
  • Wachimbaji wadogo wa madini/mchanga mnatahadharishwa kuchukua hatua za kulinda usalama wa maisha yenu.
  • Pia mnatakiwa Kulinda miundo mbinu ya kufugia samaki ili isiathirike na mvua kubwa
  • Mnashauriwa Kuchimba au kukamilisha ukarabati wa mabwawa na malambo kwa ajili ya uvunaji wa maji ya mvua
  • Hospitali,vituo vya Afya na Zahanati zijiandae kukabiliana na magonjwa ya mlipuko endapo yatatokea

Vilevile Taarifa na Takwimu za Madhara ya Maafa ikiwa pamoja na uharibifu wa mazao unapotokea ziwasilishwe haraka kwa Maafisa Watendaji wa Mitaa/Kata kwa ajili ya kuziwasilisha Ofisi ya Mkurugenzi kitengo cha maafaa.

Jackson Kahabi

k.n.y MKURUGENZI MANISPAA KIGOMA/UJIJI

cc: Mbao zote za matangazo

Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa