• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kigoma Ujiji Municipal Council
Kigoma Ujiji Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango,Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Sekta ya Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Ukimwi
      • Kamati Ya Maadili
      • Uchumi Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Kamati Za Madiwani
      • Ratiba Kuonana Na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Picha za Kuona
      • Mh.Meya
    • Tukio
    • Habari

ANNE MAKINDA "PANGENI MENDELEO KWA KUZINGATIA TAKWIMU" stastics

Posted on: February 4th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Kamisa wa Sensa Nchini Tanzania Mhe.  Anne Semamba Makinda amewataka Viongozi Serikali na Kisiasa kupanga Maendeleo kwa kuzingatia takwimu zilizopatikana kutokana na Sensa ya Watu na Makazi iliyofanyika  mwezi Agosti,  2022

Aliyasema hayo katika semina ya Usambazaji na uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022  iliyofanyika   Jana February 03, 2022 katika Ukumbi wa Kigoma Social hall uliopo Manispaa ya Kigoma/Ujiji

Katika Semina hiyo Waliohudhuria ni pamoja na Sekratrieti ya Mkoa, Waheshimiwa Madiwani wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji, Wakuu wa Idara na Vitengo, Watendaji wa Kata na Mitaa pamoja na Wenyeviti wa Serikali za mitaa

Aliwataka Viongozi kutopanga Maendeleo kwa upendeleo bali kuzingatia takwimu zinazoendelea kutolewa na Serikali kwa Mjibu wa Sensa ya Watu na makazi

Alisema kuwa takwimu za idadi ya Watu, Idadi ya Majengo na anwani za makazi kwa ngazi ya Halmashauri, Kata, Mitaa na Vitongoji  zinatarajiwa kutolea mwishoni mwezi February mwaka huu

Aliendelea kusema zoezi la Sensa ya Watu na Makazi Nchini limefanyika kwa ufanisi katika hatua tatu ikiwa ni elimu na uhamasishaji wa Wananchi kushiriki Sensa , Siku ya Sensa na kwa sasa ipo hatua ya tatu kuandika ripoti na Usambazaji, na uelimishaji wa matumizi ya matokeo ya Sensa

Awali Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Michael Ngayalina alisema takwimu za Sensa zitaendelea kunufaisha makundi mbalimbali ikiwemo makundi ya Wafanyabiashara, Wakulima na vikundi vya wajasiriamali katika kuhakikisha   wanapanga mipango yao ya kiuchumi

Aliendelea kusema takwimu za Mkoa zilizopatikana na takwimu za Halmashauri, Kata na Mitaa  zinazoendelea kuchambuliwa zitasaidia Serikali kuendelea kupanga mipango ya Maendeleo kwa kuzingatia takwimu na mahitaji ya Wananchi      

Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dr. Albina Chuwa, aliwataka viongozi hao wa ngazi ya Halmashauri, Kata na Mitaa kufuatilia takwimu katika maeneo yao pindi zinapokamilika  kuzitumia katika kupanga maendeleo katika maeneo yao

Akiwasilisha taarifa   Mratibu wa Sensa Taifa Ndugu. Seif kuchengo alisema takwimu  za Halmashauri,  Kata na Mitaa zinanaendelea kukamilishwa huku akisema kwa mjibu wa  Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022  Watu waliolala Nchini Tanzania ni 61,741,120 huku Waliolala Mkoani Kigoma ni jumla ya Watu 2,470,967 Wanaume Wakiwa 1,186,833  na Wanawake1,284,134

Alihitimisha kwa kusema idadi ya Watu imeongezeka kwa mwaka 2022, sawa na wastani wa ongezeko la idadi ya watu kwa mwaka (the annual intercensal population growth rate) la asilimia 3.2


Matangazo

  • NYARAKA ZA WAKUU WA SHULE WALIMU WAKUU October 10, 2022
  • Ufatiliaji wa Kina Kusaka wasiokata Leseni za Biashara 2017 March 20, 2017
  • Fedha za Mradi wa P4R mwezi Machi 2017 April 13, 2017
  • Fedha za Mradi wa Barabara Machi 2017 April 13, 2017
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • NYUMBA YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MJIMWEMA IPO HATUA YA UMALIZIAJI. Building

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU YAENDELEA UJIJI, DC AKAGUA MIRADI. National touch

    May 07, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUTOA MSAADA WA KIBINADAMU WAATHIRIKA WA MVUA KIGOMA UJIJI. Flood

    May 05, 2025
  • NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KIGOMA UJIJI. Health

    May 03, 2025
  • Angalia Yote

Picha za Kuona

MWENGE WA UHURU 2023
Picha za Kuona Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tume ya Ajira

Kurasa Husishi

  • Wizara ya Elimu
  • Wizara ya Afya
  • TCU
  • Mikopo Vyuo Vya Elimu Ya Juu
  • Ofisi ya RAS Kigoma
  • Jiji Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Manispaa ya Kigoma Ujiji

    Sanduku la Posta: S.L.P 44

    Simu: +255 28 2802535

    Namba ya Simu: +255765660847

    Barua pepe: municipal@kigomaujijimc.go.tz ictsecurity@kigomaujijimc.go.tz

Mawasiliano Mbalimbali

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Manispaa ya Kigoma Ujiji. Haki Zote Zimehifadhiwa